Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Ni wazi kwamba vyama vyote vya siasa vinavyosomba vijana kutoka mikoa mbalimbali kuelekea eneo linakofanyika uchaguzi mdogo ni ishara na ushahidi wa kuwa havikujipanga kueneza chama katika eneo hilo tangu awali, au ni dharau kwa wanachama wa eneo husika kwanini wachukue watu toka mikoa mingine kuwaleta kalenga au kwingineko wawe mawakala kama sio kufuja mali za vyama vyao?
Hii ni dalili za utovu wa nidhamu kwa wanachama au ishara ya kutokuwa na wanachama waliofundika katika eneo husika
Vyama yabidi viwafundishe wanachama wao kujitegemea sio katika kuwanyima ruzuku tu huko mikoanai bali hata kujisimamia katika masula haya pia
NI MOJA YA TABIA ZINAZONIKERA KULIKO ZOTE
Hii ni dalili za utovu wa nidhamu kwa wanachama au ishara ya kutokuwa na wanachama waliofundika katika eneo husika
Vyama yabidi viwafundishe wanachama wao kujitegemea sio katika kuwanyima ruzuku tu huko mikoanai bali hata kujisimamia katika masula haya pia
NI MOJA YA TABIA ZINAZONIKERA KULIKO ZOTE