Ahsante sana mkuu kwa kuwasilisha Mada pendwa kwa vijana wa kileo
Ila nami ningependa kuongezea ulipoishia, utanisamehe km nitakua nmekosea kuongezea ila ngoja tu niongezee
Acha niende moja kwa moja kwenye kiini au mzizi mkuu wa maelezo yangu, kwa mujibu wa tafiti nilizozifanya kwa muda mrefu usiopungua miaka 30+ (usiulize nina umri gani) nimegundua kwamba kilichotuleta hapa duniani sio mapenzi, sio ndoa, sio kua na mwanamke, sio kua na mwanaume, sio hivyo vyote, sio umaarufu, sio kujulikana, sio sio sio hivyo vyote sio
Ila gunduzi zangu zinanipeleka moja kwa moja kwenye ukweli wa mambo kwamba tupo hapa kwa ajili ya kutafuta Pesa fanya kazi it doesn't matter whether it's legal or illegal but make sure una-make doe (cash), hio ndio purpose ya wewe kua hapa duniani maana hata waumini walei kanisani hua wanaiba sadaka kwa hio usishangae kuhusu hilo
Purpose pekee ya wewe kua hapa duniani ni kuzisaka ngawira/chapaa, saka doe saka cash ziwazo zozote kila chocho, na hapo ndipo heshima yako inapoanzia, hizo mbwembwe zingine za afya ya mapenzi na spermatogenesis utaishia kuzisikia tu kwa wengine wakiziongelea kipindi wewe una deal na pesa zako huna mazungumzo ya ajabu kiasi hicho, maana pesa zako zitakutumikia na zitakutimizia kila fantasy yoyote ya mapenzi unayoyahiyaji na uliyokua unaihitaji katika hii dunia na katika maisha yako hata ukihitaji groupies unapata kwa pesa zako
Itoshe kusema purpose ya wewe kuwepo katika hii sayari ni kuzisaka mpaka uzipate
When I put my shoot down.. na dey follow when I put my legs down
Nitarudia tena...