Dhana nzima ya Futari na Daku

Wewe chizi kweli mtu wangu.

Aliekwambia kila anaekula Daku anashiba mchana kutwa ni Nani?
Alafu na wewe utakuwa ushajaza mkopo , ule vizuri, Yani nachekaga

Funga kula mlo mmoja tu wa jioni mpaka kesho jioni

Achana na kula ma vyakula usiku wa manane yanachacha tumboni

Mchana mnarusha macheuzi ya mavimbizi
 
Sayansi imefeli Mara nyingi tu baada ya kuaminika,sayansi ni uelewa wa Mammalia wenzio tu ambao hubadilika kila mara
Sayansi haijawahi kufeli, sema kuna issue ambazo hazijapata ufumbuzi wa kisayansi. Bado haujafanyika utafiti wa kutosha kuhusu say cancer cause yake ni nini and how cancer system 'regulates" tself!
 
Daku. Ni batili mtu huwezi sema umefungua wakati umekula alfajiri
 
Ata juzi ktk maazimisho ya misa ya J5 ya majivu Padri mmoja aliyekuwa akiazimisha misa ile ali kemea matumizi ya neno futari
 
Unafungua saa 12 kwa maelezo ya yesu yupi umbwa wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ona unavyo panic kama pedophile

Mnatutesa Sana mkianza mfungo wenu wa kula kama mchwa
Mtu anakula saa kumi usiku machakula Yana chacha tumboni akija ofisini ni kutema macheuzi ya mavimbizi

Kula mara moja jioni mpaka kesho jioni
 
Ona unavyo panic kama pedophile

Mnatutesa Sana mkianza mfungo wenu wa kula kama mchwa
Mtu anakula saa kumi usiku machakula Yana chacha tumboni akija ofisini ni kutema macheuzi ya mavimbizi

Kula mara moja jioni mpaka kesho jioni
Una maneno mengi kama nguchiro unamfata yesu yupi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni kazi sana kumuelewesha mtu anae tembea na sanam ya Brian Deacon shingon akiamin ni muokozi wake
  • Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
    • Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
    • Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…