Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Sio Mnyika tu ila alitangulia Rostam Azizi kutuelewesha lakini bado tumelala fofofo.he! na serikali ipo kabisa inayafumbia macho hayo mambo,kweli mnyika hakukosea.au ndo siasa za maji taka
Sio Mnyika tu ila alitangulia Rostam Azizi kutuelewesha lakini bado tumelala fofofo.he! na serikali ipo kabisa inayafumbia macho hayo mambo,kweli mnyika hakukosea.au ndo siasa za maji taka
Mkuu mwanzoni nilikuwa sikuelewi lakini sasa nimeanza kukuelewaAbaki,ingawa sio lazima kupigana saa zote ila kwa hili uwepo katika uwanja wa mapambano ni muhimu!!!!
Baki hapo mkuu ila kila unapoona mambo yanapinda sema kwa sauti bila ya woga historia itagawanya hakika hamtokaa kundi moja!!!!
Lema bwana, huyu hawezi ku-survive mahala hakuna fujo. Wanaanza kujadili rasimu kuanzia kesho na yeye ni mweupe atakaa kufanya nini? CHADEMA nzima tunamtegemea Tundu Lissu atuongoze cha kusema kwenye rasimu. Shule muhimu jamani. Watu wa Arusha poleni.
Kwani anafanya nini huko hadi asubiri wiki ijayo? Akwendreeeeee jambazi huyo anawahi msimu wa utalii akawapore wazungu.
Waondoke tu coz wao ndo wanatucheleweshea Katiba Mpya.
Nimezungumza mara nyingi na wengi wengine wamazungumza pia, UKAWA umekuwa umoja ulioshindwa toka kuanza kwa Bunge hili la katiba, Viongozi wake wamekuwa wanajifanya wana busara sana, kwa kweli wameonyesha hawana uzoefu na masuala ya misuguano ya kisiasa wanabadilisha mara kwa mara misimamo yao bila CCM kubadili misimamo yake, wamepoteza kila kitu na CCM wamepata kila kitu, UKAWA wameishia kulalamika tu kwa namna ya kuwapumbaza wananchi, Hakika kubadilisha mara kwa mara misimamo kumepoteza umaarufu wa vyama hivyo vya upinzani na kumesababisha ajali nyingi za kisiasa, unaweza kuona viongozi hawa wa upinzani walivyokua wanajing'atang'ata na kutumia misemo mingi tena in defeated tone wakikubali hoja ya CCM ya kura ya wazi, ni maoni yangu kuwa mfumo wa kura zote mbili yaani ya wazi na ya siri , kama alivyosema prof, A. Sherrif in essence ni mfumo wa kura ya wazi, UKAWA wametuonyesha kuwa ni wachanga mno katika siasa za majadiliano na mibinyo na zaidi ya yote ni usaliti mkubwa wa misimamo yake, usaliti huu wa kimisimamo hauwezi kufichwa katika kichaka cha " sisi hatutaki tuonekane ni sababu ya kukwama mchakato wa katiba mpya " sentensi hii imekuwa sas ndio kauli mbiu ya UKAWA , hakika hii ni kauli ya woga, kujipendekeza na iliyosinyaa sana, Wananchi hawahitaji katiba mpya tu, wanahitaji katika yao [ Katiba ya Wananchi ], sasa ni hakika kuwa kushindwa huku kwa UKAWA katika hatua za mwanzo hakonyeshi matumaini ya kutetea katiba ya wananchi, tunachoweza kufanya ni kujaribu kupenyeza na kushawishi maoni ya wananchi kwa wajumbe wa CCM ambao kimsingi ndio wanaonyesha kusimamia wanachokiamini au kuaminishwa au kutoweka matumaini yoyote ndanin ya katiba mpya, tukifanya yote haya wawili jambo lililo wazi ni kuwasubiri na kuwaadhibu hawa wanaounda ukawa mwaka 2015, wakiendelea hivi hakika wananchi watawaadhibu, na wananchi watakuwa na kazi rahisi ya kuwazika katika kaburi la sahau kwa vile watakuwa wameshajichimbia kaburi lao wenyewe ndani ya Bunge la katiba.
ulemavu wa akili ni tatizo kubwa sna kwa taifa hili kama wewe.
Kweli chadema shule muhimu kama shule ya yule mbunge wa korogwe vijijini mganga wa kienyeji,maana yule msomi si anaitwa profesa maji marefu?
Ndo mana upo mle ndani, wewe ni sehemu ya mabadiliko. Unless huamini kama unaweza kuleta hayo mabadiliko ambayo watu wa Arusha wanayatarijia toka kwako na watanzania wanaokupenda.Kujitoa katika mchakato ni ishara ya uwoga na kutojiamini kitu ambacho kiongozi mkubwa kama wewe hatukutarajia kukiona toka kwako.UNAKIMBIA...? Huwezi kuwa Jasiri wewe, watu wa Arusha watasikitishwa sana na kitendo chako.
Kama sikosei Jana ni wewe peke yako ndiye hukupiga kura ilihali ulikuwa upo ndani ya ukumbi wa Bunge, yaani wewe utafanya watu wajute kukuchagua maana hujielewi aysee..
Kweli chadema shule muhimu kama shule ya yule mbunge wa korogwe vijijini mganga wa kienyeji,maana yule msomi si anaitwa profesa maji marefu?