God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
....
Ha ha ha huyo kijana bwege sana, ngoja akose bahati. By the way ukiamua kuacha dhambi acha ila mambo ya kuchagua dhambi ni upuuziUmekoroga habari sijui nikushauri ipi!Hizi zimekuwa kama stori za kwny kahawa
Nashukuru mkuu.Ulikua form one lets say 13-14 yrs. 13-6=7,mtoto wa mama mdogo ni 7yrs,wewe ni mbakaji.
Huyo mama mkubwa achana nae,usijitafutie matatizo.
haaaa mbavu zanguuna mambo wewe file lako hata shetani analishangaa
Shida kubwaahaaaa hiz genye mbaya sana
Mkuu umekunywa viroba au?hainaga ushemeji tunakulaga