Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Basi haidhuru tupeleke ng'ombe tukafuge kisasa. Maana kama ng'ombe wamewekewa traffic lights kule Chattle kwanini wasilale kwenye viwanja vya ndege mgodini?Tulizungushia UKUTA, ila pia tukawajengea na KIWANJA CHA NDEGE ndani ya mgodi ili wamalize juu kwa juu.