Mkuu huyo jamaa ni bomu!
Kama ameshindwa kuwafafanulia wapinzani maana ya utawala bora basi ni fiksi tu.
Hajui taratibu za utungaji sheria, na kina Lissu, Mbowe, Lipumba et al kwa kweli wameadhirika pamoja na matusi na kele zote zile hadi mishipa ikawatoka, muswaada umesainiwa na tuition wakula Ikulu.
Mabadiliko ni lazima lakini ni kwa nguvu ya hoja bungeni ,si kususia halafu kutegemea fujo na maandamano.
Ni dhahiri sasa huyo Kibamba ni mchumia tumbo tu kwa wanaomfadili.