Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Hata mimi simjui zaidi ya porojo na harakati zake za kipinzani basi,kwa mbali humgundua kwa muonekano wa ndevu zake za umbo o ambalo huko Zanzibar linawakilisha kundi fulani lenye kheri tu lakini.Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo
1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?
Asanteni sana
Kuna utaratibu mpya umezuka siku hizi Tanzania. Mtu yeyote anayetetea HAKI na Watanzania wanyonge basi ni CHADEMA.
Kama huo ndiyo mtazamo wa Watanzania siku hizi, basi CHADEMA ni chama cha HAKI NA WANYONGE.
Na sioni CCM itatokea tundu gani? UDINI? UKANDA? U-DR. SLAA?
Ni mwanachama kivuli wa CHADEMA.
Kuna utaratibu mpya umezuka siku hizi Tanzania. Mtu yeyote anayetetea HAKI na Watanzania wanyonge basi ni CHADEMA.
Kama huo ndiyo mtazamo wa Watanzania siku hizi, basi CHADEMA ni chama cha HAKI NA WANYONGE.
Na sioni CCM itatokea tundu gani? UDINI? UKANDA? U-DR. SLAA?
Pa Kyindi acha ushabiki mkuu! Kubali yale yenye kujenga mustakabali tunaoutaka wa fikra mbadala na uchambuzi wa hoja za msingi kama anavyofanya Kibamba!Ni mwanachama kivuli wa CHADEMA.
Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo
1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?
Asanteni sana
Pa Kyindi acha ushabiki mkuu! Kubali yale yenye kujenga mustakabali tunaoutaka wa fikra mbadala na uchambuzi wa hoja za msingi kama anavyofanya Kibamba!
msaka tonge
- Hilo jukwaa wanafadhiliwa mapesa na nani ndio swali la msingi sana hapa mkuu!!
Le Mutuz
Deus Kibamba ni jembe sana,jamaa anawaumbua wachumia tumbo sana,ningependa hilo jukwaa la katiba awe mwenyekiti wa kudumu maana jamaa yupo kimaslahi ya taifa.
- Anataka kugombea Ubunge wa Segerea kwa tiketi ya Chadema ndio maana amerudisha kadi yake ya CCM, hivi karibuni ni kweli lile jukwaa wangejiunga tu na Chadema maana ni tawi lao wala sio siri!!
Le Mutuz
Okay! Ni vigumu kuwa na mchambuzi ambaye hana mwelekeo wa kisiasa kwa kuwa hata yeye huwa na matamanio kama wengine......lakini pamoja na kuwa M-Chadema au M-CCM, yote anayoyasema Kibamba hayana msingi au yamekaa Ki-Chadema dema tuu?
Umeni PRE-EMPTY kabisa, nilitaka niseme hayo hayo ila nikaona umeshaweka. Huu ni ujumbe wa waTanzania kwenda kwa waTanzania.
Anayetetea HAKI NA MASLAHI YA TAIFA=CHADEMA, wenyewe mmesema!
'Maso pakyindi' kwa Kinyakyusa inamaanisha 'Kutazama ugali'
- Anataka kugombea Ubunge wa Segerea kwa tiketi ya Chadema ndio maana amerudisha kadi yake ya CCM, hivi karibuni ni kweli lile jukwaa wangejiunga tu na Chadema maana ni tawi lao wala sio siri!!
Le Mutuz
msaka tonge
Kuna tatizo gani hapo mkuu!