Kuna utaratibu mpya umezuka siku hizi Tanzania. Mtu yeyote anayetetea HAKI na Watanzania wanyonge basi ni CHADEMA.
Kama huo ndiyo mtazamo wa Watanzania siku hizi, basi CHADEMA ni chama cha HAKI NA WANYONGE.
Na sioni CCM itatokea tundu gani? UDINI? UKANDA? U-DR. SLAA?