Desktop Computers 20 zinahitajika!

Desktop Computers 20 zinahitajika!

Logo

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
588
Reaction score
48
Hallo,
Nahitaji Desktop computers 20 kwa ajili ya shule yangu. Ziwe na
1. Ram kuanzia 512
2. HDD kuanzia 60.
3. Full set yenye flat screen monitor.
4. Kwa aliye tayari anipangie bei!

PM tu nitakujibu! Asante.
 
kuna sehemu zinapatika used kwa 370,000 ila ni nzuri sana. Je unataka mpya kabisa au used?
 
Naweza kukupa PC 9 kwa 550,000 Tsh zipo Arusha tayari kwa 20 au zaidi utapata baada ya wiki mbili tuwasiliana zaidi, ni used PC na ziko kwenye condition nzuri sana no scratch kwenye screen. Angalia attachment hii. View attachment Dell Optiplex 620.zip

---------------------
Dell Optiplex 620
---------------------

Pentium 4 (2.8GHz HT) Processor
1 Gb RAM
80 Gb HDD SATA
CD/DVD
Gigabit NIC
High DEF Audio ports
17" inch LCD monitor
Dell Keyboard
Dell Optic
 
pliz ni email kwa pressdown@hotmail.com tupeane mawasiliano alafy nikusaidie na tena nitakuwa fundi wa kuangalia mashine zako yani usipoteze muda mkuu nitumie email tuwasiliane
 
Back
Top Bottom