Dereva wa simba ukawa alitumwa??

Dereva wa simba ukawa alitumwa??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,888
Tujiulizesana kwanini amekimbia kamajali yakawaida iweje akimbie


Nani alimtumakwenye ajali??
 
simba msitafutane uchawi iko wazi kabisa mmetoana kafara kama ilivyo kawaida yenu alafu jifunze kujiongeza ajali zote ambazo dereva huwa anakimbia huwa wametumwa na nani?!

#Zitto
 
simba msitafutane uchawi iko wazi kabisa mmetoana kafara kama ilivyo kawaida yenu alafu jifunze kujiongeza ajali zote ambazo dereva huwa anakimbia huwa wametumwa na nani?!

#Zitto
acha uzaramo kwenye matukio sensitive
 
nina uhakika 100% mtoa taarifa anatakiwa apimwe kiwango cha kilevi kwa muda huu
 
Tujiulizesana kwanini amekimbia kamajali yakawaida iweje akimbie


Nani alimtumakwenye ajali??

yanga yavuka zimbabwe kupambana na waangola wasusiwa ndege ya serekali
 
wanajamvi mimi nilisikia habari kama hizi za dereva kukimbia baada ya ajali, nikawasiliana na mmoja wa mwanachama wa simba tawi la mpira na maendeleo (ukawa) ambaye alikuwa tawini katika kushughulikia mambo ya msiba akaniambia dereva ni miongoni mwa waliofariki.
 
wanajamvi mimi nilisikia habari kama hizi za dereva kukimbia baada ya ajali, nikawasiliana na mmoja wa mwanachama wa simba tawi la mpira na maendeleo (ukawa) ambaye alikuwa tawini katika kushughulikia mambo ya msiba akaniambia dereva ni miongoni mwa waliofariki.

hapana mkuu kwa taarifa iliyotolewa na RPC wa morogoro ni kuwa wanamtafuta dereva alikimbia, na inaonekana hakuwa na uzoefu na safari ndefu kwani inaonekana hiyo sehemu ilikuwa hakuna kitu chochote mbele labda kilichopelekea hadi kuacha barabarani, ila kulikuwa na mvua kidogo.
 
hapana mkuu kwa taarifa iliyotolewa na rpc wa morogoro ni kuwa wanamtafuta dereva alikimbia, na inaonekana hakuwa na uzoefu na safari ndefu kwani inaonekana hiyo sehemu ilikuwa hakuna kitu chochote mbele labda kilichopelekea hadi kuacha barabarani, ila kulikuwa na mvua kidogo.
mpwakashawafikisha alippotumwa loh

jamaayetu watankibovu kaishia hivihivi na upenziwake.watimuzakulogana
 
Back
Top Bottom