Wanasema waswahili, wakati ukuta.Yaani kweli wakati umepita lol.
We real miss those old times jamani. Peace to all
Wengi wa age go katika jukwaa letu pendwa hili la Chit Chat tumepoteaaa.
Wito wa dereva tajwa hapo juu ni kwamba niwaombe wadau wote kurudi hapa jukwaani. Wafuata wametakiwa kurudi immediately:
PakaJimmy, Watu8 Filipo Arushaone KOKUTONA lilyflower Preta blakiwomani Madame B na mke wangu wa zamani Smile
Wamebobea kubadilisha oda za wateja, unaikumbuka ile ingine?
Huyo dereva yupo Mkoa gani?
Tanga mamii.........enzi hizo JF ilikuwa motomoto kweli kweli.......matrip ya kufa nyani.........Dar. - Chugga - Tanga..........ilikuwa ni sheeeeeder................members wa kila aina........tunakuta bata mpaka kuku wanashikwa na mdondo..........wacha kabisa.........
Mwaka huu Desember tuna safari ya Pemba Mozambique........utatujoin.......?