Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,504
- 8,253
Wakuu, kati ya hao wawili yupi ana mslahi mazuri, sababu kuna kila dalili za kutoboa interview ya iliyoanza Jana ya Mahakama, na hapohapo nishahakikishiwa na mkurugenzi ndugu yangu wa halmashauri moja hivi hapa nchini ambako nimetuma maombi kwamba kazi ipo.

