sara-22
Member
- Apr 6, 2013
- 99
- 14
Mie nilikua na bajaji na dereva alikua ananisumbua sana wakati nilimpa bajaji mpaya alikua ananiletea elfu80 au 50 kwa wiki eti kazi mbaya hamna wateja na ilikua kosa yangu nilimpa bila mkataba.
Sasa natarejia bajaji mpaya mwezi ujao natafuta dereva anaye weza kuniletea laki 250 kwa wiki baada mwaka mmoja na nusu bajaji itakua ya dereva.
Mkataba upo matatizo ya kiofundi kwanzia elfu 1 hadi 15 jua ya dereva ikizidi kwangu kubadilisha mafuta jua yangu mimi hivo dereva atajua maana ya amana maanake atakua mwaminifu sana na bajaji yake.
Mashariti
Awe anakaa kwenye nyumba yakumiliki.
Ndugu wazazi wapo naye serekali ya mtaa wake anamjua na amdhamini.
Atakaye kua tayari PM.
Sasa natarejia bajaji mpaya mwezi ujao natafuta dereva anaye weza kuniletea laki 250 kwa wiki baada mwaka mmoja na nusu bajaji itakua ya dereva.
Mkataba upo matatizo ya kiofundi kwanzia elfu 1 hadi 15 jua ya dereva ikizidi kwangu kubadilisha mafuta jua yangu mimi hivo dereva atajua maana ya amana maanake atakua mwaminifu sana na bajaji yake.
Mashariti
Awe anakaa kwenye nyumba yakumiliki.
Ndugu wazazi wapo naye serekali ya mtaa wake anamjua na amdhamini.
Atakaye kua tayari PM.