dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Unauza sh ngap MrSa hivi naziuza. Madereva ni wasumbufu. Ninazo 4. Mbili namba CR nyingine BZ
Unauza sh ngap MrSa hivi naziuza. Madereva ni wasumbufu. Ninazo 4. Mbili namba CR nyingine BZ
Unauza sh ngap Mr
Vijana wa Bajaji wasumbufu sana.
Akiwa hana chombo anakuwa mpole sana. Na kukuhakikishia kuwa kila kitu kitaenda sawa kama mlivyokubaliana.
Ukishampa chombo matatizo yanaanzia hapo.
1. Mnaanza kusumbuana kwenye hesabu
2. Yeye anakuwa bosi Chombo anamwachia mtu mwingine.
Watu wengi wameacha biashara ya Bajaji kwa hasara kubwa kwa sababu ya madereva.
Hawajali na hawathamini kabisa kuaminiwa.
Hawajielewi wale,hapo hapo utakuta hesabu kwa boss apelekiMaisha rahisi kweli! Hapo tripu 3 za mbezi to korogwe hisabati ya bosi ishapatikana
Wanapenda sana kukaa maskani na kupiga stori.Uko sawa kiongozi. Ndo shida ya vijana hawataki kufanya kazi. Anatafuta Bajaji ili nae awe Boss