Dereva wa bajaji anahitajika

Dereva wa bajaji anahitajika

YEE BABA

Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
13
Reaction score
6
Natafuta dereva wa bajaji kwa hapa Dar es salaam. Bajaji zipo mbili maeneo ya Temeke Mwisho, dereva awe mwaminifu na hesabu kwa siku elfu 15,000 .

Mdhamini mmoja muhimu, kwa maelekezo zaidi piga 0713 393 591 au zymiwa@hotmail.com

Ahsanteni.
 
Madereva wasumbufu kwenye hesabu. Na wenyewe wanawapa day worker ajali za kila mara. Mda wote ni kuwasiliana nao utafkri na mimi nimekuwa dereva. Kazi zingine zinasimama. Imagine kwenye madereva 6 wa nne wasumbua. Siku yote inaharibika
Pole mkuu, ila kuachiana bajaji wanaachiana vipi ikiwa hesabu hazijakamilika mkuu? Wanadai mfumo wa mkataba ndio hausumbuagi maana dereva anakuwa na full liability na chombo hivyo kumfanya kuwa makini zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom