Dereva ungeweza hii?

Dereva ungeweza hii?

Basi kamanda uko vizuri aisee.....tutakuja utupe mashule......[/QUOTE
nyamchele Hiyo ni rahisi kwa sababu kibin inakata tera, lakini ingekuwa imeunganika kama yale ya Makontena, ingeleta shida.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kwa semi trailer ni rahisi sana sababu upinda usukani sana tyre za kwenye trailer hazizunguki katika mfumo wake wa kawaida bali zinasota kwa kusugua, ila fuso haifai maana tyre huzunguka wakati wote
 
Back
Top Bottom