Just imagine, unataka kuchimba dawa, na dereva hana mpango na hilo.Wakati anazindua reli ya SG rais alisema yeye kama dereva hasikilizi wala kuwaangalia abiria wake.
Wakati nachukua kozi yangu ya udereva pale NIT, supervisor wangu alinieleza kuwa, ukitaka kuwa dereva mzuri hasa dereva wa magari ya abiria lazima uheshimu mawazo na maoni ya abiria uliowapakia.
Wewe ni binadamu, mwili huchoka na akili huchoka, wakati wa safari ndefu kutokana na uchovu unaweza kupitiwa na usingizi kwa sekunde kadhaa (blink of an eye) ukasababisha ajali, kutokana na uchovu unaweza kujikuta unaongeza spidi bila kujitambua, imeshatokea.
Inawezekana abiria anataka kukutaarifu ajali ya moto iliyotokea siti ya nyuma, inawezekana buti la nyuma limefunguka na mzigo umedondoka bila wewe kuwa na habari. Inawezekana vile vile abiria wanataka kukupa taarifa ya mgonjwa au mjamzito ndani ya lori (basi) unaloendesha. Kwa hiyo kuziba masikio kwa dereva kunaweza kusababisha ajali zisizo za lazima.
Mimi nafikiri dereva mzuri ni yule anayejali na kuwasikiliza abiria wake. View attachment 495013
Yaani dereva asiyejali hata kuchimba dawa siyo mzuri.Just imagine, unataka kuchimba dawa, na dereva hana mpango na hilo.
chimba humo humo ikifika kwenye mwiniko itabiringika mpaka chini tehJust imagine, unataka kuchimba dawa, na dereva hana mpango na hilo.
dereva anayetumia lori maana yake hataki mawasiliano na abiria wake ukijifanya kihere here utadondoka vibaya .. sasa kazi ya abiria ni kutafuta naman ya kujishika tuYaani dereva asiyejali hata kuchimba dawa siyo mzuri.
Ina maana Watanzania ni mizigo?Gari ya Mzigo utasikilza Abiria?
sasa mkuu konda na utingo wapo mbele wamefunga vioo inakuwaje sasaDereva anatakiwa kusikiliza konda au utingo wake tu na utingo au konda ndie anawasikiliza abiria kazi ya dereva ni kuendesha gari si kupiga story na abiria wake kwani mshika miwili moja umponyoka
ndiyoIna maana Watanzania ni mizigo?
Awe tingo au konda anayempa taarifa ni sawa na kuwasikiliza abiria, tatizo la dereva huyu hata tingo hawasikilizi.Dereva anatakiwa kusikiliza konda au utingo wake tu na utingo au konda ndie anawasikiliza abiria kazi ya dereva ni kuendesha gari si kupiga story na abiria wake kwani mshika miwili moja umponyoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah umenikumbusha mbali sana.
Tatizo la abiria wa Tanganyika trans ni walalamikaji na wakosoaji si washauri wengi wamejikuta ni malinguistics kila anachoongea dereva wao wanakitafasili wanavyojua wao sasa hakuna kusikilizana zaidi ya zogo tu so dereva asipokuwa makini tutakijita kwenye makorogo cha msingi afanye kazi iliyompa leseni ambayo ni udereva tuAwe tingo au konda anayempa taarifa ni sawa na kuwasikiliza abiria, tatizo la dereva huyu hata tingo hawasikilizi.
Unafikiri dawa ni kutowasikiliza?Tatizo la abiria wa Tanganyika trans ni walalamikaji na wakosoaji si washauri wengi wamejikuta ni malinguistics kila anachoongea dereva wao wanakitafasili wanavyojua wao sasa hakuna kusikilizana zaidi ya zogo tu so dereva asipokuwa makini tutakijita kwenye makorogo cha msingi afanye kazi iliyompa leseni ambayo ni udereva tu
Sehemu yeyote ambayo imekosa masikilizano inatambulika kama ni Fujo au vurugu na kwenye fujo au vurugu hakuna mazungumzo kwani mazungumzo ni masikilizano na kuongea kwa kupokezana nje ya hapo ni fujo na kama ni fujo inatakiwa dereva apeleke gari kwenye usalama ambapo ni Police hata kwenye ndege inapotokea fujo pilot anafunga mlango wake na kuhakikisha ndege hiko salama then anatua uwanja ambao uko karibu so awezi kuacha kuendesha ndege kuja kusikiliza abiria mnapigizana kelele kwa sababu ganiUnafikiri dawa ni kutowasikiliza?