Dereva anusurika kusombwa na maji

Dereva anusurika kusombwa na maji

Yaani baada ya maji kupungua walimshusha na baada ya dk 5 akapoteza fahamu na hivi ninavyotoa taarifa hii bado yupo karatu lutheran hospital akiendelea na matibabu
 
hahahaaaa dah pole sana dereva....hivi wakuu mfano umeletewa picha na huyo ndo dereva wako na hiyo hapo chini ni gari yako utajisikiaje...maana dereva inabidi asome nyakati kabla ya kupita sehemu, ni mawazo tu jamani
 
Muda waliotumia kuitengeneza hii movie ungetosha kabisa kumtoa juu ya mti.
Jana nilipita hapa baada ya maji kupungua hali ilikuwa mbaya sana
 
Yaani baada ya maji kupungua walimshusha na baada ya dk 5 akapoteza fahamu na hivi ninavyotoa taarifa hii bado yupo karatu lutheran hospital akiendelea na matibabu

yani baada ya kuokolewa ndo kazimia amshukuru Mungu wake aliyemsaidia kuupanda mti hata hakuzimia mpaka kaokolewa
 
Ni tukio la kusikitisha ila hilo pozi alilokaa nimejizuia kucheka nimeshindwa. Huyu sasa ndio atakwambia jamani mungu yupo tena anajibu maombi
 
hahahaha dah kna vitu vingine vinasikitisha lakini inabidi ucheke tu hahahshaha...
duh sema usiombe ikukute....pole sana derevaa maana na kitambi hicho ulipanda mti bila kupenda
 
Pole yake, ila amecheza sana. Nampa saluti zote
 
Back
Top Bottom