Dereva anusurika kusombwa na maji

Dereva anusurika kusombwa na maji

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
Dereva wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwa juu ya mti baada ya gari alilokuwa anaendesha kusombwa na maji katika

10155646_10152318781814339_2166001540634289022_n.jpg


Source;Mwananchi
 
Kwa jinsi maji yalivyomengi, huo mti unaweza ukang'olewa. Wamrushie kamba, apige mbizi hadi ng'ambo badala ya kumuangalia.
 
sasa aombe Mungu na huo mti uwe na mizizi imara. Kwa sasa ardhi imeshika sana maji hivyo hata mizizi ya miti ambayo si deep rooted ni hatari.
 
Back
Top Bottom