Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Basi mimi pia ni conclude kwa kifupi sana kwamba Deo Mwanyika ni Jizi kama majizi mengine na wazungu wameshamtumia sana kutulaghai sis waafrika na sasa wameamua kum dump.Shame on him and his family
 
Ameiba kiasi gani? Alikuwa anaibaje? Amepiga hela kiasi gani? Amekwepa kodi kwa namna gani? Amekwepa kodi ipi? Amekwepa kodi kiasi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we ulifanya kazi na smbdy "langas "

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naskia bonge la bepari

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This was a conduit probably....hakuna marefu yasiyo na ncha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…