HUYU DEO NI mama wa ajabu yeye NI CHANZO,cha kushuka kwa elimu Wilaya ya butiama! Serikali inatenga FEDHA kwa ajili ya maendeleo ya shule, walimu wengi wakuu wa shule ILI kupata Mgao wa FEDHA ZA shule zao lazima watoe kitu kidogo kwa DEO- Syverian masinde, usipotoa laki tano! Huwezi pata Mgao wa shule yako!! Anachukua chake mapema!!!!! Huku watoto wetu wakishindwa masomo VIBAYA!!!?
Baada ya halmashauri kugawanywa Kati ya butiama na Musoma vijijini, walimu wakuu wanaombea huyo mama aende pande mwingine, NI mvutano hatakiwi, wengi wanaombea ahamishwe!
Hakika nchi yetu hii wengine wanapiga Kelele bungeni serikali kuu inatenga FEDHA kwa ajili ya elimu LAKINI DEO na wakurugenzi wanakuwa kikwazo!
DEO fisadi analindwa na Nani je Mgao unarudi wizarani au TAMISEMI,
tafadhali tuma watu wako wapate uhakika then Kama mnapenda saana ahamishiwe wizarani!!
just imagine capitation grants mil 200 zilizopaswa kutumika tangu march mwaka 2013 hazijatumika hadi Leo hii alikuwa anatafuta mbinu ya kuzitafuna!!!! Nendeni HATA kesho mkamuulize je hapo hajachangia kuua elimu yetu???
DEO wa aina hii kweli NI Mali ndani ya nchi au ???
Fedha ZA uhamisho ZA walimu zimeletwa hajalipa walimu je huyo NI DEO elimu au muuaji wa ELIMU?! Mwanamama HUYU NI katili walimu wakuu watafanya sherehe akihamiswa, walimu wa kawaida ndio kwake NI takataka, kama NI hivyo msihangaike elimu yetu itaendelea kuwa duni kwa dizaini ya MA-DEO wa aina hiyo na mkurugenzi wake!! Pinda, waziri TAMISEMI, elimu tupeni Majibu mapema!!!
Baada ya halmashauri kugawanywa Kati ya butiama na Musoma vijijini, walimu wakuu wanaombea huyo mama aende pande mwingine, NI mvutano hatakiwi, wengi wanaombea ahamishwe!
Hakika nchi yetu hii wengine wanapiga Kelele bungeni serikali kuu inatenga FEDHA kwa ajili ya elimu LAKINI DEO na wakurugenzi wanakuwa kikwazo!
DEO fisadi analindwa na Nani je Mgao unarudi wizarani au TAMISEMI,
tafadhali tuma watu wako wapate uhakika then Kama mnapenda saana ahamishiwe wizarani!!
just imagine capitation grants mil 200 zilizopaswa kutumika tangu march mwaka 2013 hazijatumika hadi Leo hii alikuwa anatafuta mbinu ya kuzitafuna!!!! Nendeni HATA kesho mkamuulize je hapo hajachangia kuua elimu yetu???
DEO wa aina hii kweli NI Mali ndani ya nchi au ???
Fedha ZA uhamisho ZA walimu zimeletwa hajalipa walimu je huyo NI DEO elimu au muuaji wa ELIMU?! Mwanamama HUYU NI katili walimu wakuu watafanya sherehe akihamiswa, walimu wa kawaida ndio kwake NI takataka, kama NI hivyo msihangaike elimu yetu itaendelea kuwa duni kwa dizaini ya MA-DEO wa aina hiyo na mkurugenzi wake!! Pinda, waziri TAMISEMI, elimu tupeni Majibu mapema!!!