Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,914
Haya matokeo ya utekeaji mbona ynapamba moto kwa kasi sana sasa hivi.
Kuna umuhimu mkubwa wa wa mambo ya ndani kujipanga kwani awmeshindwa kazi.
Haya mambo yamekuwa yakijirudia sana.
Sina niambaya na huyo binti marehemu, ila mabinti wengine wajifunze kupunguza tamaa ya fedha na kutembea na matajiri ambao wengi wao hutoa kafara kulinda utajiri wao, sio kila kingaacho ni dhahabu, sio kila pesa ni halali..kuweni macho.