Ndugu wabunge msiorasmi wa JF (hamjatangazwa na NEC ya mafisadi). Katika mkutano wa wajumbe wa mikoa wa chama cha wafanyakazi-Tanesco; moja ya hoja nzito walizozitoa ukiacha ile ya DOWANS ni juu ya deni la umeme ambalo Tanesco wanaidai SMZ kupitia shirika lake la umeme ambalo ni takribani bilioni 46.
Pia serikali ya Muungano inadaiwa mabilioni. Madeni haya makubwa yamekuwa sababu nyingine kubwa kwa Tanesco kupandisha gharama za kufungia wateja wapya umeme na kuuza umeme wao kwa gharama kubwa mno.
Watanganyika tunabebeshwa mizigo isiyo yetu. Serikali ya Muungano imechukua gharama zote za IPTL, SONGAS, DOWANS na SMZ na kuzitua juu ya vichwa vyetu, watoto wetu, wajukuu wetu na hata wazee wetu waliofariki kwa ufisadi huu,walipokosa dawa,vipimo,huduma na umeme huko mahospitalini.
TUAMKEEE!:angry:
Pia serikali ya Muungano inadaiwa mabilioni. Madeni haya makubwa yamekuwa sababu nyingine kubwa kwa Tanesco kupandisha gharama za kufungia wateja wapya umeme na kuuza umeme wao kwa gharama kubwa mno.
Watanganyika tunabebeshwa mizigo isiyo yetu. Serikali ya Muungano imechukua gharama zote za IPTL, SONGAS, DOWANS na SMZ na kuzitua juu ya vichwa vyetu, watoto wetu, wajukuu wetu na hata wazee wetu waliofariki kwa ufisadi huu,walipokosa dawa,vipimo,huduma na umeme huko mahospitalini.
TUAMKEEE!:angry: