Wa angani
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 268
- 619
Nasikia deni la taifa limefikia tsh. Tilion 97.35 nataka nielekezwe utaratibu wa kulipa deni lote kwa raia wa kawaida, nikiwa mzalendo kwa nchi yetu nahitaji kuilipia serikali yetu ili kuongeza chachu ya maendeleo tusiwaze madeni tena, na kama bado itahitaji mikopo watueleze namna ya kuikopesha sisi wenyewe wananchi kabla ya kukopa nje kwenye masharti mengi.