Deni la Taifa: Rais, CAG na Mawaziri watofautiana takwimu. Ukweli ni upi?

Uv ccm wamo humu ndani??
Hivi vituko navyo hamuvioni??
Kweli inzi wa kijani hasikii harufu ya choo..!!
 
Mzee unawaza kuwa deni ni fixed?. Report ya CAG scope yake ni 2015/16 (postmortem). Deni hulipwa na kukwopa kila mwezi! Ushauri wangu tafuta mkeka wa ukopaji na ulipaji kila mwezi.
 
Mzee unawaza kuwa deni ni fixed?.Report ya CAG scope yake ni 2015/16(postmortem).Deni hulipwa na kukwopa kila mwezi!Ushauri wangu tafuta mkeka wa ukopaji na ulipaji kila mwezi.
Angalia tena ulichokiandika halafu kisia hao viongozi wanatoa taarifa hii tofauti ndani ya kipindi cha mwezi mmoja unatuambiaje kwenye hili? Halafu nani anayewajibika katika kutangaza deni la Taifa?
 
Angalia tena ulichokiandika halafu kisia hao viongozi wanatoa taarifa hii tofauti ndani ya kipindi cha mwezi mmoja unatuambiaje kwenye hili? Halafu nani anayewajibika katika kutangaza deni la Taifa?
Achana na hao jamaa wao kila kitu ni kutetea tu.
 
Kabla sijakoment naomba kujua hizo figures ni za mpaka lini. CAG najua zinaishia June 30,2017. Sasa isije kuwa tunabishania ujinga
 
UONGO UONGO TU, MADENI YA TAIFA MATANO...

1. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha alisema deni la taifa ni Trilioni 27.04.

2. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema deni la taifa ni trilioni 46.08 pamoja na kuomba radhi kwa Rais.

3. Waziri wa Fedha Dk. Mpango mwezi uliopita alisema deni la taifa ni Trilioni 47.76.

4. Jana Waziri Mkuu anasema deni la taifa ni dola za Marekani Bilioni 25.42 sawa na Shilingi Trilioni 55.9.

5. Mpango wa Serikali wa mwaka 2018/19 kwenye ukurasa wa 35 unaeleza kuwa deni la taifa ni shilingi Trilioni 57.54.

_____________

Serikali moja, madeni ya taifa matano. UONGO hauchanganyiki na NAMBA. Asante sana #Alloyce_Nyanda_2016.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Sasa tusaidiane
Deni la taifa ni trilioni......
A) 27.04
B) 46.08
C) 47.76
D) 55.9
E) 57.54

Chagua jibu sahihi....
Deni la Taifa ni kubwa sana halilipiki, kwa hiyo? Hitimisha ili ueleweke
 
UONGO UONGO TU, MADENI YA TAIFA MATANO...

1. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha alisema deni la taifa ni Trilioni 27.04.

2. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema deni la taifa ni trilioni 46.08 pamoja na kuomba radhi kwa Rais.

3. Waziri wa Fedha Dk. Mpango mwezi uliopita alisema deni la taifa ni Trilioni 47.76.

4. Jana Waziri Mkuu anasema deni la taifa ni dola za Marekani Bilioni 25.42 sawa na Shilingi Trilioni 55.9.

5. Mpango wa Serikali wa mwaka 2018/19 kwenye ukurasa wa 35 unaeleza kuwa deni la taifa ni shilingi Trilioni 57.54.

_____________

Serikali moja, madeni ya taifa matano. UONGO hauchanganyiki na NAMBA. Asante sana #Alloyce_Nyanda_2016.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Sasa tusaidiane
Deni la taifa ni trilioni......
A) 27.04
B) 46.08
C) 47.76
D) 55.9
E) 57.54

Chagua jibu sahihi....
Wewe tuambie ni lini walikuwa wakitoa matamko hayo? Walitoa siku moja ama? Unajua lazima tuelewe kuwa, madeni huwa yaliyoiva yanalipwa kila siku na Serikali. Hapo hapo Serikali inaendelea kukopa, so kuna haja ya kupata maelezo ya kwa nini kuna utofauti mkubwa wa madeni but in reality lazima tukiri kuwa Serikali inaendelea pia kukopa.
 
UONGO UONGO TU, MADENI YA TAIFA MATANO...

1. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha alisema deni la taifa ni Trilioni 27.04.

2. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema deni la taifa ni trilioni 46.08 pamoja na kuomba radhi kwa Rais.

3. Waziri wa Fedha Dk. Mpango mwezi uliopita alisema deni la taifa ni Trilioni 47.76.

4. Jana Waziri Mkuu anasema deni la taifa ni dola za Marekani Bilioni 25.42 sawa na Shilingi Trilioni 55.9.

5. Mpango wa Serikali wa mwaka 2018/19 kwenye ukurasa wa 35 unaeleza kuwa deni la taifa ni shilingi Trilioni 57.54.

_____________

Serikali moja, madeni ya taifa matano. UONGO hauchanganyiki na NAMBA. Asante sana #Alloyce_Nyanda_2016.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J

Sasa tusaidiane
Deni la taifa ni trilioni......
A) 27.04
B) 46.08
C) 47.76
D) 55.9
E) 57.54

Chagua jibu sahihi....
Kila taarifa ina kipindi chake. Usisumbuke sana! Aidha madeni haya ni stahimilivu na baada ya miradi iliyokopewa kukamilika, yatalipwa ili kutoa nafasi kwa miradi mingine mipya kupata mikopo.
Ninachoona na kushauri ni uangalifu katika matumizi. Serikali inapaswa kuhakikisha kwamba inadhibiti matumizi na ukamilishaji wa miradi hii kwa wakati kulingana na makubaliano, ili kutopindukia gharama za msingi.
 
Licha ya Kwamba Nilisema Tuiache Serikali yetu ifanye kazi maana tunaichanganya kwa Kuandika andika lakin Mimi kama Mwananchi naomba kusaidiwa, Ili nijue kuna kajambo kamenichanganya (Hoja yangu ipo katika Data Journalism )

1. Katibu mkuu wa wizara ya fedha Dotto James wakati akiongea na waandishi wa habari alisema deni la Taifa ni Shilingi trillioni 27.04.

2. Mkaguzi na mdhibiti Wa hesabu za serikali pamoja na kuomba radhi kwa Rais alisema deni la Taifa ni shilingi trillioni 46.08

3 .Tena Waziri wa fedha Dk Mpango mwezi uliopita alisema deni la Taifa ni trillioni 47.76

4. Sasa Tena Waziri mkuu nae akasema jana tu deni la Taifa ni dolla za kimarekani bill 25.42 sawa na Shilingi za Tanzania trillioni 55.923

5. Nimeutafuta na kuusoma Mpango wa Bajeti wa mwaka 2018/19 katika ukurasa wa 35 unasema deni la Taifa ni trillioni 57.453

Kuna Takwimu zinapishana, sasa mimi Mwanahabari nikitaka kufanya rejea kwenye mijadala yangu nitumie Takwimu ipi?
 
Wewe tuambie ni lini walikuwa wakitoa matamko hayo? Walitoa siku moja ama? Unajua lazima tuelewe kuwa, madeni huwa yaliyoiva yanalipwa kila siku na Serikali. Hapo hapo Serikali inaendelea kukopa, so kuna haja ya kupata maelezo ya kwa nini kuna utofauti mkubwa wa madeni but in reality lazima tukiri kuwa Serikali inaendelea pia kukopa.
Kama huelewi logistics za serikali kaa kmya! kma inalipa kla siku hio bugdet inapitishwa kila siku?
 
Back
Top Bottom