Ni miradi ipi inatumia fedha za ndani (kodi zetu) na miradi ipi inatumia mikopo?
Kwakuwa kila mdadi mkubwa utasikia "tunatumia fedha zetu wenyewe".Hilo deni linatoka wapi?
Viongozi wa awamu zilizotangulia wangeamua kukopa kwa kasi hiyo,tungekuwa na miradi mikubwa na mingi,lakini walikuwa na tahadhari.
Tujitathmini kwa speed hii ya kukopa.