Deni la taifa lapanda na kufikia zaidi ya trilioni 40

Mimi nipo tayari kulipa na kuilipia familia yangu ila kwa sharti tu na mimi nisilipe kodi kwa miaka kadhaa...
 
Uwe mkakati wa taifa ,kwa wafanyakazi wote yaani central government & na wale wote wa viwandani chini mifuko yao ya kijamii kama vile Nssf ppf nakadhali ,utakatwa pesa kidogo kwa mwaka .pia liwe angalizo kwa wale wanaoingia madarakani kulinda deni la taifa lisiendelee kukua kwani ni uzembe wakitaifa kwa ujmla
 
Mimi nipo tayari kulipa ila baada ya hapo wakisema kila mtanzania anadaiwa. .........kuwepo na neno isipokuwa .....
 
Hilo hata huwezi kuambiwa. Kwa taarifa yako mpaka sasa unalipa. Serikali itakukamua kupitia kodi za bidha kama mafuta na umeme. kwengine ni kama kwenye vinywaji na pembejeo za kilimo. Mpaka sasa tunalipa sema hawalipi deni badala yake wazipiga ndio maana deni linapanda. Umeshasahau mambo ya EPA, RAD, RICHMOND, ESCROW nk nk nk.....?!
 
Kwenye hilo deni Endrew chenge pekee kakandamiza si chini ya trilioni 3 halaf kwenye malipo tulipe sawa?
 
10438315_1219955491352200_5371645969282582986_n.png

Deni la Taifa limepanda na kufikia Shilingi Trilioni 40, hivyo kila Mtanzania anadaiwa shilingi laki nane na hamsini na sita (856,000/=).

Ukiambiwa uchangie kulipa deni la Taifa, upo tayari?


Nitachanga endapo nitampa straight anayetudai.... Haya mambo ya kukusanya serikalini mwanzo wa ESCROW nyingine
 
Hapa nakataa tamaa kabisa kama ipo siku Tanzania itaitwa developed country.
 
hahahaha ucpo lipa kodi nchi itaongozwaje.?

sasa kama tunalipa kodi na bado nchi inashindwa kuongozwa kwa maana tunadaiwa kiasi hicho,, walimu wanadai, huduma mbalimbali zinashindikana... sasa labda tusipolipa kodi hawa vilaza watajiongeza na kutafuta chanzo kingine cha kodi,, wanaweza hata kufikilia serikali ikafanya production..... na hizi kodi tunazolipa ndio zinawapa viburi vya kuiba wakijua tutalipa tu,,,, YULE RAIS WA KOREA NA CABINET YAKE INABIDI TUWAAZIME KWA WIKI MOJA TU... ili hawa wanaotumia kodi zetu kwenye mifuko yao wanyooshwe..
 
Mbona mimi sijaona zimetuka vipi hizo hela.
Nidaiwe wakati sikwenda kopa.
Itafikia mahali watadai hata waliokufa
 
walipe wanaosafiri safiri km popo
Masikini mtanzania wewe, hujui kwamba hapo ulipokaa upo unalipa hili deni. Na usichojua zaidi ni kuwa waliotuingiza kwenye hili deni hawatakaa waonje machungu yake labda tufanye maamuzi magumu kama Watanzania kwa umoja wetu ndipo nao wataonja machungu ya hili deni!

 
Mbona mimi sijaona zimetuka vipi hizo hela.
Nidaiwe wakati sikwenda kopa.
Itafikia mahali watadai hata waliokufa
Post namba #35 inakuhusu mkuu Root.
Wakikupa accountability ndio zile barabara (disposable roads) zilizozolewa na manyunyu yaliyopita Dar es Salaam juzi! Unashangaa Pugu Rd na Mandela Rd ya zamani zilijengwa miongo zaidi ya mitatu iliyopita na hazina hata kashimo lakini zilizojengwa miaka miwili iliyopita kwa gharama zilizozidishwa mara tatu zimeshageuka vifusi!

 
Masikini mtanzania wewe, hujui kwamba hapo ulipokaa upo unalipa hili deni. Na usichojua zaidi ni kuwa waliotuingiza kwenye hili deni hawatakaa waonje machungu yake labda tufanye maamuzi magumu kama Watanzania kwa umoja wetu ndipo nao wataonja machungu ya hili deni!


najua km nalipa
 
Hilo hata huwezi kuambiwa. Kwa taarifa yako mpaka sasa unalipa. Serikali itakukamua kupitia kodi za bidha kama mafuta na umeme. kwengine ni kama kwenye vinywaji na pembejeo za kilimo. Mpaka sasa tunalipa sema hawalipi deni badala yake wazipiga ndio maana deni linapanda. Umeshasahau mambo ya EPA, RAD, RICHMOND, ESCROW nk nk nk.....?!

Hapo umenena kamanda, na ukweli ndio huo, kulipa tunalipa sema tu zinapokelewa kulia zinapitiliza kushoto
 
Back
Top Bottom