Demu wangu mpya

Jogoolakiume

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
15
Reaction score
4
Baada ya kukaa bila msichana kwa muda mrefu kdogo nimeamua kuwa na demu lakini tatizo linakuja pale ninapotaka kumtambulisha kwa washikaji nashindwa coz anafanyakaz kwenye lounge moja hapa mjini na sometimes anaingiaga ucku ......ila nampenda tatizo ni hzo ratiba zake....eti wadau niendelee kuwa nae...?
 
Kama ni yule wa sports lounge,go on she is damn pretty na kapiga machizi kibao za mbavu lol
 

kama we unaridhika nae, unataka kuwaridhisha washkaji ili iweje? Au unaogopa usije kuta keshachukuliwa na mojawapo wa marafiki zako...
 
Wakati unamuapproach hukujua yote hayo?kwani kufanya kazi lodge kunatafsiri gani hadi uhofie kumtambulisha?utakua hujampenda dada wa watu,muache ukaapproch anaefanya Ikulu ndo umtambulishe mwaya!..by the way sio 'lounge' its lodge!
 

Mbona unachekesha kijana, hivi kuwa na mpenzi anayeingia night ndo imekua kikwazo cha wewe kutomtambulisha kwa marafikizako? Hapo naona kuna kitu kingine ambacho unahofia zaidi ya hicho ulichotuambia.

Kwani watu wanaoingia night hawatakiwi kuwa na wapenzi?
Mbona walinzi wanaingia night na bado wana wake na watoto wamewaacha nyumbani?
 

Mkuu nimegundua kitu kimoja, huyu [MENTION]Jogoolakiume[/MENTION] inaonekana anakaa kwao, halafu washkaji zake ni wanakaa gheto afu ma'player, so anahofia watamsaidia. Akiwaambia tu, wanaanza kumsindikiza huyo dem kurudi hom kisha mengine yanafata...
 
Mkuu nimegundua kitu kimoja, huyu Jogoolakiume inaonekana anakaa kwao, halafu washkaji zake ni wanakaa gheto afu ma'player, so anahofia watamsaidia. Akiwaambia tu, wanaanza kumsindikiza huyo dem kurudi hom kisha mengine yanafata...

Huko ni kuto jiamini tu.
 
Mkuu hoja yako imetulia. Huyo anatujaribu tu, atuambie ukweli huyo demu anafanya kazi gani isije kuwa anaiita Kimboka lounge.
 
Sasa ukimuacha ataolewa na nani acha utoto kama ana mapenzi na wewe ya ukweli we oa.
 

Tatizo ni kufanya kazi lounge au kuingia usiku...
Hayo sio matatizo ata kidogo.. Tatizo ni wewe mwenyewe na akili zako za kijinga.. kama unampenda mtu na unaona anafaa sasa unaogopa nini.. mtafutie basi kazi ikulu tena ya mchana..
 
Hivi wadada wahudumu wa Lounges, Restaurants n.k ndio hawapaswi kuwa na wapenzi?


wanapaswa kuwa na wapenzi ndio,lakini wapenzi wanaoendana na kazi zao.hao wanawafaa ma-bar manager wao,wanakesha nao huko huko!sasa wewe afisa wa benk unarudi nyumbani na uchu wako mwenzako ndio anaingia kazini!
 
Wanangu wa kike nawahurumia!! Kazi ipo wallah!
Usiwahurumie tu ukaishia hapo, wasomeshe mpaka elimu ya juu kabisa ili wafanye kazi ikulu, labda hili jogoo la kiume likiwaona litawaoa bila kuleta uzi hapa.
 
Kama unamjali utamtafutia kazi sehemu muafaka kulingana na ratiba uliyonayo kwa siku...
Huwezi kuachana na chaguo la moyo eti sababu ikiwa ni kazi tu!!

wanapaswa kuwa na wapenzi ndio,lakini wapenzi wanaoendana na kazi zao.hao wanawafaa ma-bar manager wao,wanakesha nao huko huko!sasa wewe afisa wa benk unarudi nyumbani na uchu wako mwenzako ndio anaingia kazini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…