Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Nanukuu
"Nilikutana nae kwa mshikaji, kaniambia walikuwa wanasoma pamoja
nikakutana nae mtaani, nikamnunulia msosi, tukabadilisha namba
tukaanza kuchati, mambo ya message usiku kucha, nikampeleka slipway mara mbili, movie mara moja
Kaniambia ananipenda, nami nikampenda tena kwa dhati
kaniomba vocha, nikamtumia, akanibeep nilipopiga, kasema ahsante
nikamwambia tutoke kideti Movenpeak, akaja na mdogo wake, nikalipia gharama
Baada ya wiki, akaniomba laki, nikwamwambia subiri, bado sipo freshi, sasa hajibu message na simu anakata
si miyeyusho au?"
"Nilikutana nae kwa mshikaji, kaniambia walikuwa wanasoma pamoja
nikakutana nae mtaani, nikamnunulia msosi, tukabadilisha namba
tukaanza kuchati, mambo ya message usiku kucha, nikampeleka slipway mara mbili, movie mara moja
Kaniambia ananipenda, nami nikampenda tena kwa dhati
kaniomba vocha, nikamtumia, akanibeep nilipopiga, kasema ahsante
nikamwambia tutoke kideti Movenpeak, akaja na mdogo wake, nikalipia gharama
Baada ya wiki, akaniomba laki, nikwamwambia subiri, bado sipo freshi, sasa hajibu message na simu anakata
si miyeyusho au?"