Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,100
- 8,213
Mwambie huyo Rafiki yako aachane nae hapendwi.
Ni kwa sababu ya namna ambavyo jamii inawachukulia, jamii ikiacha kuwachukulia vibaya basi hata wao watakuwa na uhuru wa kusema ukweliKuna mmoja sikujua kama ana mtoto mkubwa kabisa kwanini huwa hawapendi kusema ukweli
Nimekuquote kwa bahati mbaya nilitaka nimquote huyo wa juu yakoKwa aina hii ya enzi zetu unatongoza demu miezi 6 hata kumgusa chuchu hakuna na unamuimbisha dizaini hizi za Vijana kupata kipochi ilikuwa NO ungekomea kuziona kwenye picha, chabo au kwenye porno movie. Si ujinga uliouliza. Unataka tukufundishe , ina maana hata wakati wa kupanua tutakufundisha?
Uljiongeza mapema, Eti hadi ndoa wakati wengine wanapenyeza , 😀😀😀Kuna demu alkuwaga hvo ila hyo namba 6 sijui kama alkuwa anafanyaga hvo,tulkuwa tunaonana usiku tu tena kwenye Giza ila baadae alianza kuwa na Mimi hata kwenye mwanga ila n usku tu,nilmvumilia sana kwa vile alkuwa mzuriiiii sanaaaa,ila baadae nilchoka nkamfanya kama mshkaj nkawa nakutana nae kwa ajili ya story na kuuona uzuri wake maana kugegedwa aligoma akawa anasingizia mpaka tufunge ndoa,sku moja kankuta na demu mwingne mtaan tukapshana nae kmya kmya ila baadae alianza kusumbua kwa kupga sm na sms anataka tuonane mpaka usiku nkaamua kuzima sim,sku moja nkakutana nae nkamweleza nilishndwa kuvumilia kufa na nyege,ila nilimwomba msamaha mahusiano ya kukutana na kupga story yakaendelea ila safar hii akawa hatak hata nmshike,mwsho Wa sku mi nkshama maeneo hayo tumebakza kuchat kwenye sm
Mkuu naomba ufafanuzi kivipi wakati anaweza kusema private tu ni hivi na vileNi kwa sababu ya namna ambavyo jamii inawachukulia, jamii ikiacha kuwachukulia vibaya basi hata wao watakuwa na uhuru wa kusema ukweli
Eti kutongoza ukubwani..aliyekwambia mm nimeanza kutongaza juzi nani?
Aisee mzee baba,mm ni expert kinoma,usinihukumu na hata hunifahamu.....wewe cha muhimu hapo jibu kama uzi ulivyouliza acha kurukaruka kama digidigi!!