Hlf sio mm,huyo demu ni wa mshkaji wng aisee!!
Mshauri amuache, ameshamuona fala wa hali ya juu.Huyu demu ni wa mshkaji wng aisee na jamaa ana plan nae kabisa...anampa kila kitu na anampenda kinoma na hana demu mwingine zaidi yake...daahhh kweli kuna wanawake hawajui wanataka nn kabisa kwenye maisha.
Daaahhh na kwl mkuu......yaani mm huwa nashindwa kuelewa wanawake ukimpenda kwa moyo wako wote na kumthamini anakuona fala,pia usipompenda na kumthamini pia anakuona fala...daahh sasa mtu unashindwa uwe vipiMshauri amuache, ameshamuona fala wa hali ya juu.
"Ukimpenda saana na kumwamini saana mwanamke utapata moja kati ya haya; mke bora wa maisha au funzo kubwa maishani mwako.
Yaani huyo demu ni ignorance sana.
Wanawake siwaelewi ukimpenda kwa dhati na kumthamini anakuona fala,usipompenda na kumthamini anakuona tena fala.....sasa mtu unashindwa uwe vipi.