Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Lol hahaha.Alooooo sio mchezo... kiuhalisia anaonekana mdogo ilaa balaa lake utalijua ukiingia 18 zake anakupa huku anatabasamu mwenyewe wala haudhiki ..
yaani nilikula ban 3months takatifu nakumbuka ilikua inaisha 3rd November of that year...namfata shunie ananipa pole akanipa namba ya Max,wasap Melo ananiuliza unataka iishe lini!!!!namuambia leo hii anajibua hayaa...akantoa kwenye mabanosina hamu..halafu Vladmir akaka nje mda kidogo ya jf kwa ban...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mie huyu?Ukijilegeza utabadilisha ID bila kupenda,kaza
Na Wale viguvugu pia nivema tukajuana ilaa sisi ndo tutachomwa moto mpaka kushoto hatupo kulia hatupo!
Uko sahihi ya faragha yaishie faragha jamani...!!looh!kuhusu kuoa mbona watu wanaona humu!kuna kapo naijua wako almost 13 years now ni product ya jf tena ni watz wenzetu!!!Mungu ndo anajua mwenza wampata wapii!!!humu kuna watu wamezaa humu wako pamoja wengine wameachana n.k!!bahati mbaya ukikutana na jini mkata kambaUko sahihi 100%, kama mimi kazi yangu inanikaba sipati pa kupumulia, sina pa kupata mbususu zaidi ya humu na walahi nitaoa humuhumu, sema tusitiriane jaman,mambo ya faragha tuyaache faraghani mazee.
Kwa mpalange
Mimi bwana nawaza mashosti zangu wako jf then hawajui km Mimi ndo nshalipuliwa sasanimecheka, kna watu wako vzuri humu wee acha tyuuh, kna some body iv aaah najuta why nilizinguan nae, yuko poaa mno, na alinielewa na kunikubali, kanisave sana, nmemiss miamala yake kwa kweli,
JF 4 life, tusubiri kulipuliwa.
Nimecheka,safi nimependa ujasiri wako.Mie huyu?mbna ningebadili mda, hii ngoma mpera mpera, mlingoti chuma, bendera chuma, gusa unate.
naomba no ya melo PM, plz maana modes wanavonifanyia hapan kwa kweli. Nipo seriouz shostie.
Hapo kwenye wakata kamba nakazia,hao ndio wapo wengi kwa kweli,wanaturudisha nyuma kwa namna flani ila no sweat tutafika kibishi hata kama tutakua tumechoka.Uko sahihi ya faragha yaishie faragha jamani...!!looh!kuhusu kuoa mbona watu wanaona humu!kuna kapo naijua wako almost 13 years now ni product ya jf tena ni watz wenzetu!!!Mungu ndo anajua mwenza wampata wapii!!!humu kuna watu wamezaa humu wako pamoja wengine wameachana n.k!!bahati mbaya ukikutana na jini mkata kamba
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Anavujisha siri za kambi.Punguza speed basi Carlos khah! Umetupiga na cha mbavu kwaile list hatujakaa vizuri unatupa unatupa tyuu Hapo sasa Fanya kuongeza miamala yakutosha aaaaaawww Unamteka mazima!
Yaniii... Afanye kuvunga tu atupige vijembe tunaokulana humu !! bhaaaaasss!!Anavujisha siri za kambi.
Mapenzi bana,hapa utakuta kasha-shawishika mtu(natania tu)Yaniii... Afanye kuvunga tu atupige vijembe tunaokulana humu !! bhaaaaasss!!
Kesho utakua 2591
Nimeishia komenti ya 1399 ntaendelea tumoro!!