Demisexual wanateseka sana

You muda wa kuanza kumfanyia mtu hizo analysis sina kwa kweli.

Vinatick vinatick
Havitick havitick.
 
Mi niache kupenda kwa raha zangu nianze kumtafiti mtu?
Wooooiiih
Watu wengi sio observant mnajali tu utamu wa sex baaasiiii. Ila kwa mtu observant na mwenye Low latent Inhibition kama mimi hivyo vitu ni muhimu sana kuvichunguza. Inakua tamu zaidi ukimpenda mtu uliyemchunguza Soul,Mind na physical...
Ila ukiwa driven na sex hutaona umuhimu wake
Jitahidi uwe LLI ndio maana mengi yanawapita duniaaniπŸ˜†.
 

Kwaiyo naww n demisexual!! Itabid nikuunge na demisexual mwenzio
 

Aisee namm watu wapumbafu wapumbafu huwa siwapendagi !! Marafiki huwa nachagua marafiki intelligence au wanaofanya maajabu!!

Sema kuhandle mwanamke mwene akili sana n disaster kubwa unless umzidi mara 3 or two time hivi
 
Acha tu maana before sijazoea kuja huku jukwaa la mmu wengi walikua wanajua mimi wa kike ajili ya jina hadi pm wanakuja kabisa.

Ndio maana sijamshangaa huyo bwana

Na nilishakutongoza nilivo oona davinci kumbe ndo the vinci

Pole kwa mtongozo
 
Oh yes!
Safii, nimependa hiyo niko pooaa, sana.
Great.
Enhe so sisi demisexual tunatakiwa kufanyaje, ukute ndo umedate na asexual sasa.

Au ndo tuendelee tu kuteseka na vile hii dunia sio yetu?

Asexual anakuaje anajipenda mwenyewe au!!
 
Hapa sasa umenifungua macho kuna kitu nilimiss kukielewa, exactly siwezi sex na mtu kama sijatengeneza nae bond hata kama ni kwa muda mfupi lakini zaidi nafall deeper kwa mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa akili, mtu anayeweza kuchambua mambo, mtu ambaye anaangalia vitu kwa uchanya (positivity),

So i'm Ambivert, Homosexual, Sapiosexual and Demisexual, hehehehe patamu hapoooooo
 
Maisha ya Mwafrika bila kufanya mapenzi ni sio maisha.. Wazee tufanye mapenzi kabla hatujazeeka
 
I smelled it..
Wewe ni Demisexual sema unaweza kua character kadhaa za Sapio. Sijajua mchanganyiko wa sapio na demi unaitwaje.
Binafsi mtu akiwa Intelligent (obvious inteligent peoples are postive) halafu akiwa Kind nakufa kabisaa.

So i'm Ambivert, Homosexual, Sapiosexual and Demisexual, hehehehe patamu hapoooooo
Hatari bado ukute wewe ni Assertive pia ni Stoic πŸ˜†πŸ˜†
 
Watu wametofautiana mate... Japo waafrika tunaipa kipaumbele ngono ila kwangu nadhani ni tofauti
Hatuipi kipaumbele sisi tuna testosterone nyingi sasa hizo ndio zinasababisha nyege.. Wazungu na watu wengine hawana hizo za kutosha.. Yani hii ni genetic na kufanya mapenzi hakuzuii mtu kufanya mambo mengine
 
Parental Guide: 18+
Explicit Content.

View attachment 1835893
Daaa! We mwamba tunalandana karibia kila kitu yani...

Kila ukileta mada za mlengo huu huwa nahisi najisoma, yani kama
umesoma mind yangu ndipo
ukaandaa maada.

Labda inawezekana tupo kwenye age range moja ndio maana changamoto unazoziona ndio hizo nazo kumbananazo huku.!

Kama tunachangia nafsi vile., (kuna siku niliwaza πŸ€” ama binadamu kuna kitu tuna share ambacho kipo located outside our bodies ambapo kundi flani la watu wenye tabia za kufanana wanakua connected katika hicho kitu ambacho kipo specific kwa tabia hizo. Kwahiyo hivi vitu vipo tofauti tofauti kilingana na personalities, (kwa mfano kama server na computer)).

πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
Ipuuzieni hiyo, πŸ‘‰πŸΎsayansi inatuambia ni traits generation to generation.

Mkuu shukrani kwa hili bandiko limeniweka sawa psychologically hususani katika mahusiano.
πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Inakadiriwa kuna watu takribani 6 wanaofana nawe kila kitu physically...Inner character kama Personalities na Behavioral model tunaweza fanana pia ila sijafahamu kama binaadamu wanaweza kufanana kila kitu..nitalifanyia kazi.

Btw: Kama unaamini katika maswala ya time banding and variation inawezekana mimi ni Variant wako au wewe ni Variant wangu bila kujali Utofauti wa jinsia,umri,rangi au kabila utakao kuwepo.
Dunia ina mengi maybe I'm your Variant
Mkuu shukrani kwa hili bandiko limeniweka sawa psychologically hususani katika mahusiano.
πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
Salute thanks for noticing me. Tuendelee kujuzana machache tuliyonayo
 
Hii mada murua
Ubongo umegawanyika katika maeneo mbalimbali , ndani ya ubongo kuna sehemu inayoitwa
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…

Emotions zinakaa ndani ya Akili (Mind, kumbuka mind ipo ndani ya Ubongo) hivyo basi kupitia Limbic system Love
Emotions hutafsiriwa na kutolewa huko kwenye Moyo kama output Device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…