Dell E5430 inachangamoto ya kuwaka msaada

Mtukutu Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,150
Reaction score
1,450
Habari za asubuhi wandungu natumaini mumeamka salama salmini

Leo asubuhi wakati nawasha laptop yangu kwanza baada ya Kutumia kama dk 5 ikaleta mistari na chenga kwenye skrini

Badala ya hapo ikazima Kabisa Kila nikiwasha inawaka taa ya betri na kuzima

Ukiwasha feni inaanza kurun zeni inazima mpaka muda huu sijajua shida ni nini maana Jana nimetumia vizuri na haijawahi kuleta changamoto kama hii

Model ni dell E5430 latitude

Msaada sana Hapa

Chief Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka mbali kabsa inatabia ya kulipuka pia😕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…