Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,234
Acha nijaribu, ni kwamba unapodelete file linaenda kwenye recycle bin ambapo kila partition huwa ina recycle bin ambayo huwa iko hidden na hivyo hata kama ukifuta file kwa mfano la mb 500 bado utaona space kwenye partition iko vile vile haiongezeki na ili iongezeke utaenda na kuyafuta kwenye recycle bin ambayo iko kwenye desctop ambayo hukusaidia kuona yale mafaili ambayo yako kwenye hidden recycle bin ya kila partition.
NB: Pamoja na kuwa utayafuta hayatapotea kabisa ila kuna mahali maalumu ambapo yanaenda tena baada ya kufutwa kwenye recycle bin, sasa hapo napo panakusaidia endapo utayahitaji tena utatumia program maalum kuyarudisha pia endapo unataka yapotee permanent kuna software za kufanya hivyo. Ni kwa uelewa wangu tu sijui wengine wanasemaje.
Maelezo yako sahihi mkuu,mimi kinachonichanganya ukishafuta ktk recycle bin kwanini uki2mia recovery program una uwezo ya kuyarudisha wakati ushafuta maana yake kuna link kati ya huko yalipo na comp.
Lol! Unapofuta file haliondoki katika sector lilipohifadhiwa, kinachobadilika ni entry tu, OS yako inabadili anuani kutoka say "my documents" kwenda "trash", hivyo sector ya hdd lilipohifadhiwa hilo file inakuwa bado na kitu kilekile kama kilivyohifadhiwa kuondoa anuani tu.
Hivyo basi, uki-empty recycle bin yako unafuta hata hiyo anuani ya pili "recycle bin" hivyo inakuwa ngumu kulitrace file lako kiurahisi, lakini si kwamba file limetoweka kabisa, linabaki palepale kwenye sector ileile, na computer ita-asign jina maalum katika file lako,
computer itakwepa kwa kadri iwezekanavyo kuandika data nyingine katika sector hiyo, hivyo katika muda huo ukitumia software maalum inalocate file lako na inaweza kulirejesha kwa kulipa anuani nyingine!
nitawajibu baadae nimefuhi coz it was my phd research
Lol! Unapofuta file haliondoki katika sector lilipohifadhiwa, kinachobadilika ni entry tu, OS yako inabadili anuani kutoka say "my documents" kwenda "trash", hivyo sector ya hdd lilipohifadhiwa hilo file inakuwa bado na kitu kilekile kama kilivyohifadhiwa kuondoa anuani tu.
Hivyo basi, uki-empty recycle bin yako unafuta hata hiyo anuani ya pili "recycle bin" hivyo inakuwa ngumu kulitrace file lako kiurahisi, lakini si kwamba file limetoweka kabisa, linabaki palepale kwenye sector ileile, na computer ita-asign jina maalum katika file lako,
computer itakwepa kwa kadri iwezekanavyo kuandika data nyingine katika sector hiyo, hivyo katika muda huo ukitumia software maalum inalocate file lako na inaweza kulirejesha kwa kulipa anuani nyingine!
Sasa wakuu nashukuru kwa hii elimu, mimi kwenye pc yangu huwa natumia external sasa mwezi January mdogo wangu nikakuta amedelete yote kwenye external na imebadilika na jina kabisa. Sasa sijui aliformat au alidelete sasa hii external ilikuwa na very important document sasa je mwaweza nisaidia namna ya kurudisha hizi document. Natanguliza shukrani
nitawajibu baadae nimefuhi coz it was my phd research
Lol! Unapofuta file haliondoki katika sector lilipohifadhiwa, kinachobadilika ni entry tu, OS yako inabadili anuani kutoka say "my documents" kwenda "trash", hivyo sector ya hdd lilipohifadhiwa hilo file inakuwa bado na kitu kilekile kama kilivyohifadhiwa kuondoa anuani tu.
Hivyo basi, uki-empty recycle bin yako unafuta hata hiyo anuani ya pili "recycle bin" hivyo inakuwa ngumu kulitrace file lako kiurahisi, lakini si kwamba file limetoweka kabisa, linabaki palepale kwenye sector ileile, na computer ita-asign jina maalum katika file lako,
computer itakwepa kwa kadri iwezekanavyo kuandika data nyingine katika sector hiyo, hivyo katika muda huo ukitumia software maalum inalocate file lako na inaweza kulirejesha kwa kulipa anuani nyingine!
well said mkuu...the only way unaweza ku delete mafaili yako permanently kwenye pc ni kwa kutumia program maalum za kufuta na si hii right click delete..au delete ya kawaida...hata ku epmty recycle bin never deletes the file permanently..its just allocation ya file space addresses..
Maelezo yako sahihi mkuu,mimi kinachonichanganya ukishafuta ktk recycle bin kwanini uki2mia recovery program una uwezo ya kuyarudisha wakati ushafuta maana yake kuna link kati ya huko yalipo na comp.