malangapi tena
bola kusoma nje bana,mwalimu wapiganae stori bila shaka,lakini bongo ukipiga stori tu na mwalimu jiandae kukamatwa,nje mwalimu wanywa nae na wala nae,bongo ukionekana nje watembea miaani ni kosa lazima wale kichwa
UDSM ndo usiseme tangu miaka ya 90 huko ndo ilikuwa balaa kule Faculy of Art and Social Sciences mmmmmm...mimi si semi maana nikiwaangalia hao MaDr na Maprof kwenye Tvs wanaongea lakini wanayofanya vyuoni kwao wale hautapenda kuwasiliza tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.