My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,286
Hii tabia ya watu kujiona wao ni classic kuliko wengine eti kwa sababu wana Degree nne inachefua sana.
Kwanza ni nani mvumbuzi wa elimu? na nini maana ya elimu?
Thomas Edison wakati akivumbua balbu alikuwa kasomea wapi na alikuwa na Degree ngapi za balbu?
Wright Brothers wakati anavumbua ndege alikuwa kasomea wapi? Na alikuwa na Degree ngapi za kutengeneza ndege?
Tesla wakati anavumbua engine, alikuwa kasomea wapi? na alikuwa na Degree ngapi za kutengeneza engine?
Hawa ni ma genius, wenye akili za kuzaliwa (talented) ambao leo hii dunia inakula matunda yao.
Mwanamuziki hana tofauti na mwandishi, kuandika habari za siasa huhitaji kuwa mwanasiasa, na kuimba vivyo hivyo.
Bob Marley hakuwa mwanasiasa, Lakini nyimbo zake nyingi zilikuwa za kisiasa.
The absence of wisdom creates disaster.
Wapo watu wenye Degree 4 wameajiriwa na watu wa darasa la saba.
Mfano mdogo, ni tajiri Kishimba, MB wa Kahama mjini.
Degree 4 ndo kitu gani?
Kwanza ni nani mvumbuzi wa elimu? na nini maana ya elimu?
Thomas Edison wakati akivumbua balbu alikuwa kasomea wapi na alikuwa na Degree ngapi za balbu?
Wright Brothers wakati anavumbua ndege alikuwa kasomea wapi? Na alikuwa na Degree ngapi za kutengeneza ndege?
Tesla wakati anavumbua engine, alikuwa kasomea wapi? na alikuwa na Degree ngapi za kutengeneza engine?
Hawa ni ma genius, wenye akili za kuzaliwa (talented) ambao leo hii dunia inakula matunda yao.
Mwanamuziki hana tofauti na mwandishi, kuandika habari za siasa huhitaji kuwa mwanasiasa, na kuimba vivyo hivyo.
Bob Marley hakuwa mwanasiasa, Lakini nyimbo zake nyingi zilikuwa za kisiasa.
The absence of wisdom creates disaster.
Wapo watu wenye Degree 4 wameajiriwa na watu wa darasa la saba.
Mfano mdogo, ni tajiri Kishimba, MB wa Kahama mjini.
Degree 4 ndo kitu gani?