Hii ndio sababu kwanini Nchi hii hatutaendelea hata Miaka Milioni 1 ijayo

Restless Hustler

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
4,738
17,955
Kuna mwanajeshi mhaya alisema yeye Kwenye Kozi hakupiga doso(mazoezi makali), baba yake alikuwa mstaafu wa jeshi, alitoa fungu mtoto wake akawa anadoji doso tu.

Sasa najiuliza tu, Vita vikizuka mwanajeshi Kama huyo si atakuwa wa kwanza kufa?

Chuo nilichosoma Mimi, Kuna mzee(Dean of students) alikuwa anafundisha masomo mawili. Alikuwa anatufelisha kwa makusudi alafu anamtuma mwanafunzi tuchange laki moja moja atuachie kwenye mtihani wa sup, tukigoma tuna Carry. Wanafunzi wa kike walikuwa hawadaiwi hela Bali ngono.

Ofisi yake imejitenga, ipo mbali kidogo na Ofisi za staff wenzake. Alikuwa akimpenda Mtoto wa kike anamtafutia sababu waonane ofisini(anaweza asimjazie coursework) Mtoto wa watu akimfuata anamuambia "rudishia mlango". Baada ya hapo anafungua zipu ya suruali anamuambia njoo ninyonye uume. Mbaya zaidi huyo mzee anasadikika ana UKIMWI. Sasa Mtoto wa watu akiwaza Hali ngumu ya maisha ya nyumbani na uwezekano wa ku Carry endapo atagoma, anawaza atapatia wapi gharama za kuishi chuoni mwaka ujao, anaamua kunyonya uume yaishe.

Wanafunzi waliwahi kumuwekea mtego, wakapata ushahidi na wakaenda TAKUKURU, mkuu wa chuo hicho ni Mwanasheria, akaingilia hiyo kesi ikafutwa kwa kigezo cha kwamba hazikufuatwa taratibu za kisheria na wanafunzi.

Wakuu, msishangae law school inavyowala vichwa wanafunzi. Kuna uwezekano hao wanafunzi walipata degree zao kwa mtindo wa kuwachangia hela wakufunzi.

Pote utakapogusa katikati nchi hii, pameoza.

Miaka ya nyuma, Kuna mtendaji wa kijijini aligoma kuniandikia barua ya utambulisho kwa sababu amenidai elfu 10, nilipomtaka anieleze hiyo hela ni ya Nini na je nitapata receipt? Akaanza kunitukana eti niache dharau, najifanya Nina Elimu kubwa Kuliko yeye wakati yeye Yupo kwenye Ofisi yake. Kwa kuwa barua ilikuwa ya muhimu Sana Ilibidi nimpe tu hiyo Hela.

Kwa nukta hizi, tusitarajie Maendeleo ya kweli hivi karibuni. Fake professionals, fake students, fake certificates, fake soldiers, fake local government leaders, fake politicians, fake fake... fvck up fake development

Nchi ngumu sana hii.
 
kila taasisi za kiserikali watendaji wake wamezigeuza ni vyanzo vya mapato yao

kuna mtu nilienda kumripot polisi ili akamatwe nikawapa mpaka location anapopatikana na muda anaokuwepo lakini afande yule aliniambia nichangie hela ya mafuta ili wakamkamate mtuhumiwa wangu muda huohuo,nikaona huu upuuzi acha nimsamehe tu mtuhumiwa wangu,nikamwambia yule afande tena kwa kujiamini "hili sio jeshi ni genge la wavaa sare" halafu nikachora zangu

fake policeman
 
Kuna mwanajeshi mhaya alisema yeye Kwenye Kozi hakupiga doso(mazoezi makali), baba yake alikuwa mstaafu wa jeshi, alitoa fungu mtoto wake akawa anadoji doso tu.

Sasa najiuliza tu, Vita vikizuka mwanajeshi Kama huyo si atakuwa wa kwanza kufa?

Chuo nilichosoma Mimi, Kuna mzee(Dean of students) alikuwa anafundisha masomo mawili. Alikuwa anatufelisha kwa makusudi alafu anamtuma mwanafunzi tuchange laki moja moja atuachie kwenye mtihani wa sup, tukigoma tuna Carry. Wanafunzi wa kike walikuwa hawadaiwi hela Bali ngono.

Ofisi yake imejitenga, ipo mbali kidogo na Ofisi za staff wenzake. Alikuwa akimpenda Mtoto wa kike anamtafutia sababu waonane ofisini(anaweza asimjazie coursework) Mtoto wa watu akimfuata anamuambia "rusishia mlango". Baada ya hapo anafungua zipu ya surwali anamuambia njoo ninyonye mboo. Mbaya zaidi huyo mzee anasadikika ana UKIMWI. Sasa Mtoto wa watu akiwaza Hali ngumu ya maisha ya nyumbani na uwezekano wa ku Carry endapo atagoma, anawaza atapatia wapi gharama za kuishi chuoni mwaka ujao, anaamua kunyonya mboo yaishe.

Wanafunzi waliwahi kumuwekea mtego, wakapata ushahidi na wakaenda TAKUKURU. mkuu wa chuo hicho ni Mwanasheria, akaingilia hiyo kesi ikafutwa kwa kigezo cha kwamba hazikufuatwa taratibu za kisheria na wanafunzi.

Wakuu, msishangae law school inavyowala vichwa wanafunzi. Kuna uwezekano hao wanafunzi walipata degree zao kwa mtindo wa kuwachangia hela wakufunzi.

Pote utakapogusa katikati nchi hii, pameoza.

Miaka ya nyuma, Kuna mtendaji wa kijijini aligoma kuniandikia barua ya utambulisho kwa sababu amenidai elfu 10, nilipomtaka anieleze hiyo hela ni ya Nini na je nitapata receipt? Akaanza kunitukana et niache dharau, najifanya Nina Elimu kubwa Kuliko yeye wakati yeye Yupo kwenye Ofisi yake. Kwa kuwa barua ilikuwa ya muhimu Sana Ilibidi nimpe tu hiyo Hela.

Kwa nukta hizi, tusitarajie Maendeleo ya kweli hivi karibuni. Fake professionals, fake students, fake certificates, fake soldiers, fake local government leaders, fake politicians, fake development.

Nchi ngumu sana hii.
Inasikitisha
 
Shida Tanzania haifwati meritocracy, ndiyo maana kila mahali ni uozo, uliona wapi jamii inayokejeli waliopata division 1 kwamba wako wapi sasa? Nchi nyingi high IQ ni kiashiria cha mafanikio kwamba ukifaulu vizuri kuanzia Msingi, Sekondari mpaka Elimu ya juu uwezekano wa kupata kazi nzuri ni mkubwa sana lkn TZ ni kinyume chake, angalia Viongozi wote wa vyama ya Siasa matapeli watupu, shida ni kutokufwata meritocratic system, …
 
Kuna mwanajeshi mhaya alisema yeye Kwenye Kozi hakupiga doso(mazoezi makali), baba yake alikuwa mstaafu wa jeshi, alitoa fungu mtoto wake akawa anadoji doso tu.



Nchi ngumu sana hii.

Umelaumu kote isipokuwa Law School. Kwamba ni wao tu wasiofelisha au wasiotaka rushwa zikiwamo hizo pendwa?

"Pote utakapogusa katikati nchi hii, pameoza." -- Kwa mujibu wa habari yako isipokuwa LST. Au wewe ni mmoja wa staff pale?

Kwani ni kigezo kipi umetumia kuwa exempt hao ndugu?

Kweli kwa mawazo mgando kama yako hata miaka 200 hamna maendeleo hapa!
 
Mtoa mada ukiambiwa utolee ushahidi hizo tuhuma zako nzito utakuwa na huo uwezo?

Kwa maana tuhuma zako zimegusa Taasisi ya Jeshi, na hiko Chuo Kikuu.

Sio vizuri kuharibu taswira nzuri za watu kwa mawazo ya kufikirika.
kwani ukielezea stori ya 'mwanajeshi mmoja' ndiyo inakuwa wote wameharibika?

Kwenye kila taasisi wanakuweko wema, wafuataji wa sheria na wale ambao rushwa ndiyo maisha yao.
 
Back
Top Bottom