Dege limeokoa wstu Sudani

Dege limeokoa wstu Sudani

Limeokoa watu kwani ni ndege ya kijeshi? Bila hata hiyo ndege bado watu wangerudi tu nyumbani. Ww tuambie hizo ndege zimeleta faida gani hadi sasa, sio porojo za kuokoa watu.
Ndugu utaelewa tu faida moja wapo ni hiyo ya kurudisha walipakodi wa Tanzania salama,tusingekuwa na ndege zetu ?????????
 
Nikimbie moja kwa moja katika hoja husika, nimeona na kusikia Dege la hapa kazi tu limeokoa watu uko Sudani. Je limebagua watu waliokuwa wanatukana?
Cc Pascal Mayalla kwa msaada kama limebagua watu
Moderate Wstu = watu
Uzi kama huu bila ka picha kanushahidi yaan ni sawa na kumpigia mbuzi gita ajimwae mwae
 
Ndugu utaelewa tu faida moja wapo ni hiyo ya kurudisha walipakodi wa Tanzania salama,tusingekuwa na ndege zetu ?????????
Miaka yote kabla ya hizo ndege walipa kodi wa Tanzania walikuwa hawarudi nchini? Au kila mtanzania anarudi hapa nchini na hizo ndege tu?
 
Miaka yote kabla ya hizo ndege walipa kodi wa Tanzania walikuwa hawarudi nchini? Au kila mtanzania anarudi hapa nchini na hizo ndege tuilikuwa

Miaka yote kabla ya hizo ndege walipa kodi wa Tanzania walikuwa hawarudi nchini? Au kila mtanzania anarudi hapa nchini na hizo ndege tu?
Duu ilikuwa ni aibu sana na ndio maana wakina Zito Kabwe walipiga kelele bungeni kuwa tunazidiwa na Rwanda
 
Back
Top Bottom