Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,702
ilikuwa tarehe 14 dec.2012 kwenye kijiji cha Utiri wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma kwenye mkutano wa mkuu wa mkoa wa Ruvuma,mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga (anaitwa Shaib Nnunduma) aliitwa kusalimia kabla ya mkuu wa mkoa kuanza kuhutubia,mkurugenzi alipoitwa alianza na salam ya CCM oyee .
Mkurugenzi wa halmashauri ndiye msimamizi wa uchaguzi wa madiwani,wabunge na rais kwenye halmashauri husika sasa mkurugenzi anavyosalimia hadharani CCM oyee ,je kwenye kusimamia uchaguzi atafanya haki kwa vyama vyote vinavyoshiriki ichaguzi ?
maoni yangu sasa ni wakati muafaka wa kuwa na tume huru ya uchaguzi na tume iwe na watendaji wake watakaosimamia uchaguzi kwenye majimbo ya uchaguzi.
Mkurugenzi wa halmashauri ndiye msimamizi wa uchaguzi wa madiwani,wabunge na rais kwenye halmashauri husika sasa mkurugenzi anavyosalimia hadharani CCM oyee ,je kwenye kusimamia uchaguzi atafanya haki kwa vyama vyote vinavyoshiriki ichaguzi ?
maoni yangu sasa ni wakati muafaka wa kuwa na tume huru ya uchaguzi na tume iwe na watendaji wake watakaosimamia uchaguzi kwenye majimbo ya uchaguzi.