Decoder

Decoder

Ben11

New Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
1
Reaction score
0
Eti Unaweza kuwa Tanzania na kutumia sky decoder? au unaweza kununua sky card kwa digital money na upate sky ID utumie kufanya sky subscription ukiwa unatumia sky app for mobile
 
Eti Unaweza kuwa Tanzania na kutumia sky decoder? au unaweza kununua sky card kwa digital money na upate sky ID utumie kufanya sky subscription ukiwa unatumia sky app for mobile

kutumia decoder ya sky digital na wewe upo Tanzania haiwezekani kwa sababu beam yao haifiki kwetu..

ila kwa kutumia application yao kwa njia ya simu au box tv kama vile sky go unaweza kupata channel yoyote toka uk ila lazima utumie vpn....

na ukitaka kujaribu nione pm
 
kutumia decoder ya sky digital na wewe upo Tanzania haiwezekani kwa sababu beam yao haifiki kwetu..

ila kwa kutumia application yao kwa njia ya simu au box tv kama vile sky go unaweza kupata channel yoyote toka uk ila lazima utumie vpn....

na ukitaka kujaribu nione pm
Mkuu heb saidia hii kitu. Inasemekana Nchi jirani na Tanzania wanatazama Azam TV na Local channel za Tanzania while sisi TZ hatuwezi.

Nauliza je ni Issue ya Satelite?? Au Decoder zao ndio zimesetiwa kwa nchi yao.

Naukiza hivi ili nijue tunaweza access vp hizi channel t
 
Hii ni issue ya Card
Mkuu heb saidia hii kitu. Inasemekana Nchi jirani na Tanzania wanatazama Azam TV na Local channel za Tanzania while sisi TZ hatuwezi.

Nauliza je ni Issue ya Satelite?? Au Decoder zao ndio zimesetiwa kwa nchi yao.

Naukiza hivi ili nijue tunaweza access vp hizi channel t
Hii ni issue ya card wala sio issue ya setilite...... kwa card zote zilizo sajiriwa tanzania zinanyimwa access ya local channel za tz, kama unataka kuona local channel basi chukua smartcard ya azam tv iliyo sajiriwa nchi, tatizo itakuja pale unapotaka kulipia kifurushi.... labda ununue kifurushi cha nwaka mzima alafu ndio uje nacho huku bongo.

.nawasilisha.
 
Hii ni issue ya Card
Hii ni issue ya card wala sio issue ya setilite...... kwa card zote zilizo sajiriwa tanzania zinanyimwa access ya local channel za tz, kama unataka kuona local channel basi chukua smartcard ya azam tv iliyo sajiriwa nchi, tatizo itakuja pale unapotaka kulipia kifurushi.... labda ununue kifurushi cha nwaka mzima alafu ndio uje nacho huku bongo.

.nawasilisha.
Nimekuelewa mkuu
 
Hebu fahamisha zaidi hiyo njia ya kutumia TV box name vpn
kutumia decoder ya sky digital na wewe upo Tanzania haiwezekani kwa sababu beam yao haifiki kwetu..

ila kwa kutumia application yao kwa njia ya simu au box tv kama vile sky go unaweza kupata channel yoyote toka uk ila lazima utumie vpn....

na ukitaka kujaribu nione pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu fahamisha zaidi hiyo njia ya kutumia TV box name vpn

Sent using Jamii Forums mobile app


BOX TV ni zile android box kama vile decoder kwa njia ya internet zinatumika la hii kwa Tanzania utaumia ktk data tu.... VPN ndio inabadilisha location yako ili ziwake application za nnchi fulani
 
BOX TV ni zile android box kama vile decoder kwa njia ya internet zinatumika la hii kwa Tanzania utaumia ktk data tu.... VPN ndio inabadilisha location yako ili ziwake application za nnchi fulani
Je ukiwa nayo hiyo TV box unaweza kuona channel zile muhimu mfano EPL au champion league au unapata free channel tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ukiwa nayo hiyo TV box unaweza kuona channel zile muhimu mfano EPL au champion league au unapata free channel tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

hichi box kinatumia internet data na sie huku tz wengine hatuwezi gharama zake......hii box unapata kila kitu champion hadi challenger
 
tizama specification za box kama Ram iwe 3GB au 4 na ROM32/64
inatakua bora kwako kuna zingine zinakuja na 1 year subscription premium chanel zaid ya 2000
Cha muhimu ni hiki mkuu, premium chanells ambazo server zake sio kila mtu anatumia kama mobdro.
 
Cha muhimu ni hiki mkuu, premium chanells ambazo server zake sio kila mtu anatumia kama mobdro.


tatizo bongo wanalalamika data sijui mpaka lini halafu wanataka kutizama stream za mabdro

chief pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom