December 9 imekaa vibaya Sana kwa Wanamtandao

December 9 imekaa vibaya Sana kwa Wanamtandao

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataanguka walala hoi pekee?

Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi.

Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza

Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia

Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo wameasi?

TISS,JWTZ, Police watumishi wote wa umma under 40 wameasi ambao ni 70% ya Wafanyakazi wote.

Nawaambia hii Vita wanamtandao mmeumaliza mwendo.
 
Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataangua walala hoi pekee

Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi

Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza

Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia

Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo wameasi?

TISS,JWTZ, Police watumishi wote wa umma under 40 wameasi ambao ni 70% ya Wafanyakazi wote.

Nawaambia hii Vita wanamtandao mmeumaliza mwendo.
Na bado October 2pm wallah
 
Wameasi lakini walipozwa vijihela na wakikumbuka ugumu wa maisha na familia zao tu
 
ukitaka KUJUA ukweli tafuta mitaani pikipiki za kijani na zile baiskeli za NYUMBA 10, hazipo na kuongezea hata majezi ya kijani yamebaki za Yanga tu. Watu wanagugumia kwa maumivu majumbani kuomboleza ndugu zao.
 
Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataangua walala hoi pekee

Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi

Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza

Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia

Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo wameasi?

TISS,JWTZ, Police watumishi wote wa umma under 40 wameasi ambao ni 70% ya Wafanyakazi wote.

Nawaambia hii Vita wanamtandao mmeumaliza mwendo.
Ni kwelii
 
Mtaanza kusikia madiwani wametekwa wamechomewa nyumba moto nk mbegu waliyoipanda ishamea.
 
Kutakuwa na ambush kubwa Sana kwa machawa na maboss wao
 
Back
Top Bottom