Death and immortality; Is there life after death?

Death and immortality; Is there life after death?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,245
Reaction score
2,128
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
 
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
Ningependa sana kujibu na kuchangia hii mada ila inatia sana uvivu kuisoma.

Ebu elezea kwa ufupi swali lako liko wapi na kwa hoja ipi?
 
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
Mkuu sijamaliza kusoma nitaendelea.ILA kuna kifo baada ya maisha ila hakuna maisha baada ya kifo.Kinachofuata baada ya kifo ni another level of being ambayo sio maisha kama tunavyoyafahamu na pilika zake.
 
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
Sasa nimetula wacha nianze kuchangia.

Kwa kustaajabu kwako kwamba mtu kaoza ardhini vipi atarudi tena kuwa mzima?
Hukuanza kusema weye bali wameanza zamani kusema watu huko nyuma..

Nanukuu Qurani

أإذا متنا وكنا ترابا وعظاما أإنا لمبعوثون

[ ASS'AFFAT - 16 ]
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
(ASS'AFFAT - 17)
Hata baba zetu wa zamani?
قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ

(ASS'AFFAT - 18)
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ

(ASS'AFFAT - 19)
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
وَقَالُوا يَا وَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ الدِّينِ

(ASS'AFFAT - 20)
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
هَـٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ

(ASS'AFFAT - 21)
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

Yani wewe ukifa hata uoze vipi lazima ufufuliwe tu mkuu,huu ukweli mchungu sana yani,unawakera watu ambao wanapenda uvivu.

Sasa baada ya utangulizi huo na mimi nianze kuuliza kwa kuanzia tuu.

" hivi kati ya maji kugeuka na kuwa mtu na kati ya mifupa na nyama iliyooza kugeuka kuwa mtu kipi ni rahisi zaidi kufanyika akatokea mtu?"
 
Mkuu sijamaliza kusoma nitaendelea.ILA kuna kifo baada ya maisha ila hakuna maisha baada ya kifo.Kinachofuata baada ya kifo ni another level of being ambayo sio maisha kama tunavyoyafahamu na pilika zake.
Naomba ufafanue deep kidogo. Natamani kujua unafahamu nini juu ya Hali baada ya kifo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
Hapa jf kuna mtu ashakufa akarudi ili atupe feedback?


Subiri ufe utapata majibu yako yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nimetula wacha nianze kuchangia.

Kwa kustaajabu kwako kwamba mtu kaoza ardhini vipi atarudi tena kuwa mzima?
Hukuanza kusema weye bali wameanza zamani kusema watu huko nyuma..

Nanukuu Qurani

أإذا متنا وكنا ترابا وعظاما أإنا لمبعوثون

[ ASS'AFFAT - 16 ]
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
(ASS'AFFAT - 17)
Hata baba zetu wa zamani?
قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ

(ASS'AFFAT - 18)
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ

(ASS'AFFAT - 19)
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
وَقَالُوا يَا وَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ الدِّينِ

(ASS'AFFAT - 20)
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
هَـٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ

(ASS'AFFAT - 21)
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

Yani wewe ukifa hata uoze vipi lazima ufufuliwe tu mkuu,huu ukweli mchungu sana yani,unawakera watu ambao wanapenda uvivu.

Sasa baada ya utangulizi huo na mimi nianze kuuliza kwa kuanzia tuu.

" hivi kati ya maji kugeuka na kuwa mtu na kati ya mifupa na nyama iliyooza kugeuka kuwa mtu kipi ni rahisi zaidi kufanyika akatokea mtu?"
Upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za masiku ma GT.

Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua na ikiwezekana kupata ukweli.

Kabla nitaweka mkasa mfupi wa kweli kabisa unaonihusu.
Wiki iliyopita nilipata taarifa ya msiba wa Baba yangu mkubwa hivyo ilinilazimu huko nilipokuwa(mkoani) nirudi ili nishiriki katika ibada hii ya mazishi.Nilipofika nyumbani ambako msiba ulikuwepo nilikabidhiwa jukumu ambalo kwangu lilikuwa gumu sana na hii ni kwa sababu ni mara yangu ya kwanza.Nilitakiwa niulinde mwili wa marehemu kwa wakati wa usiku hadi asubuhi bila mimi mlinzi kulala hata lepe la usingizi.Unajuwa kutokana na stori nyingi sana zinazohusu maiti zina ogofya nilipata na woga usio na mfano ile siku sitaweza isahau katika maisha yangu.
Mwili wa marehem Baba yangu mkubwa ulikuwa pembeni na mimi nilikaa ubavuni mwake kwa usiku huu,lakini kilichonitisha zaidi umeme haukuwepo kulikuwa na giza la kutisha.
Lakini nilijikaza hadi asubuhi,kulipokucha tuliendelea na shughuli za mazishi,nashukuru tulizika salama kabisa bila tatizo lolote lile.
Baada ya mazishi yale nilijiuliza maswali mengi sana ambayo leo niyaweka kwenu tujadili kwa mapana yake.
Wakati tunazika yule kiongozi wa dini alitoa darsa fupi pale msibani kuwa huyu marehemu ipo siku atafufuliwa na mwili mpya ili kulipwa matendo yake aliyofanya akiwa duniani.Nilipatwa na mshtuko sana inakuwaje mwili ambao utaliwa na funza na kubaki mifupa ukavalishwa tena nyama mpya,je huyo mtu akifufuliwa atakuwa ni yuleyule wa duniani mwenye malengo,akili,mind zilezile?

Ndipo nilipoamua kuandika mada hii.

Death and immortality.
Is there life after death?
Death is the permanent cessation of all biological function that sustain a living organism while
Immortality involves freedom from death.

Ubongo ndio unaratibu shughuli zote za mwili hivyo kwa ufahamu wangu pindi mtu anapofariki ubongo unakuwa umeshindwa kufanya kazi na mwili mtu nakuwa amepoteza maisha.Kufa kwa ubongo ndipo unapelekea sehemu zote za mwili/viungo kufa.
Hivyo kufa ni kitendo cha ubongo kushindwa kufanya kazi.
Conscious awareness tuliyonayo inatokana na ubongo,Hii consciousnesses ndio huu uhai tulionao ambao huletwa na ubongo.Pindi ubongo unapokufa/kushindwa kufanya kazi kitendo hiki tunaita kifo.

Kama mtu akifa hawezi tena kuwa hai tena re~creation kwa sababu ubongo unakuwa umekufa na kuoza tayari.

Lakini kuna nadharia kuwa tunapokufa tutafufuliwa katika mwili mpya(resurrection) God re-creation.
Katika nadharia hii based kwenye mwili,nafasi,roho.Kuwa kifo ni kile kitendo cha mwili na roho kutengana,hivyo mwili unabaki hapahapa duniani tunazika,kochoma it depends na mila na tamaduni za jamii husika lakini roho inaenda kwa Mungu.So binadam ni divine energy(roho) hivyo roho inaishi milele haifi immorty.

Roho inapotengana na mwili inaenda kuishi kwa Mungu ikisubiri mwili wake siku ya ufufuo(resurrection) ili ilipwe kwa matendo yake ya kule duniani.
Katika nadharia hii Mungu ndiye muumba na yeye ndiye atakaye urudisha uhai tena kwa viumbe wake kwa kuumba tena.

Lakini nadharia hii imejaa maswali mengi ambayo hayana majibu.
Maswali hayo ni kama vile
a)Soul na Ubongo upi unaratibu consciousnesses katika mwili wa binadam?
b)kama jibu ni ubongo,Je mwili unapotengana na roho na roho kwenda kwa Mungu mwili(ubongo wake)kubaki duniani hivyo kuoza na kupotea.Umbaji huu wa pili utaweza kumfufua binadamu yule yule wa awali?
Ebu angalia~Ili mtu A awe ni sawa mtu B lazima watu hawa wafanane vilevile katika malengo,ufahamu,mindset,mitazamo yao.
Mambo hayo hapo juu huongozwa na brain(ubongo).
c)Je wakati mwili upo ukiharibika hapa duniani roho itakuwa inafanya nini huko ilipo?
d)Roho inaweza kuishi bila mwili?
,kama inaweza kwanini Mungu ajihangaishe kuumba tena viumbe upya wakati roho inajitosheleza.
e)Roho na mwili kipi kilianza kabla?

Conclusion.From above arguments kifo ni kifo hakuna maisha mengine baada ya kufa hakuna.
Karibuni.......




iPhone 7plus
Maisha badala ya kifo yapo..mfano mzuri marekani kunajamaa aliishi muda mwingi akiwa na ubongo mfu(brain dead) alivyopona akaja kusimulia mambo aliokua ameyaona (alisema ni Kama ndoto ya usiku mmoja)
Ukizungumzia ubongo ni device inayodanganya (Fanya pumbao) kwa nafsi ama kwa ajili ya kufafanua
Mfano binti anapita mbele ya kiranga na mshana jr... Kiranga atasema binti wa kawaida (sio mrembo) but mshana atasema ni mrembo hadi atatangaza ndoa..
Hiyo ndio kazi ya ubongo kubendi bendi reality.
Na ndo mana mungu anasema dini ya hakki ni uislam...hakusema dini ya kweli ni uislam.
Nafsi ni mixture ya roho na mwili ulionao eidha mwili wa duniani au akhera
Ndo maana mungu akasema Kila nafsi itaonja umauti.
ROHO ni..........
speaking of ROHO hakuna jini ama mwanadamu anajua nini maana ya roho.
Watazunguka weeeeee wataishia kufananisha roho na nafsi Mara sijui subconscious mind(choo chakike)
NIMEPENDA maswali yako kwa sababu ni mazito na wwe unabidii ya kupata ujuzi juu ya ulio yauliza.
Maisha badala ya kifo yapo..haiwezekani goma lizimike tuu hivihivi afu hakuna kinachoendelea.
 
Sasa nimetula wacha nianze kuchangia.

Kwa kustaajabu kwako kwamba mtu kaoza ardhini vipi atarudi tena kuwa mzima?
Hukuanza kusema weye bali wameanza zamani kusema watu huko nyuma..

Nanukuu Qurani

أإذا متنا وكنا ترابا وعظاما أإنا لمبعوثون

[ ASS'AFFAT - 16 ]
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
(ASS'AFFAT - 17)
Hata baba zetu wa zamani?
قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ

(ASS'AFFAT - 18)
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ

(ASS'AFFAT - 19)
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
وَقَالُوا يَا وَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ الدِّينِ

(ASS'AFFAT - 20)
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
هَـٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ

(ASS'AFFAT - 21)
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

Yani wewe ukifa hata uoze vipi lazima ufufuliwe tu mkuu,huu ukweli mchungu sana yani,unawakera watu ambao wanapenda uvivu.

Sasa baada ya utangulizi huo na mimi nianze kuuliza kwa kuanzia tuu.

" hivi kati ya maji kugeuka na kuwa mtu na kati ya mifupa na nyama iliyooza kugeuka kuwa mtu kipi ni rahisi zaidi kufanyika akatokea mtu?"
Maji ni rahisi sana,
 
Sasa nimetula wacha nianze kuchangia.

Kwa kustaajabu kwako kwamba mtu kaoza ardhini vipi atarudi tena kuwa mzima?
Hukuanza kusema weye bali wameanza zamani kusema watu huko nyuma..

Nanukuu Qurani

أإذا متنا وكنا ترابا وعظاما أإنا لمبعوثون

[ ASS'AFFAT - 16 ]
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
(ASS'AFFAT - 17)
Hata baba zetu wa zamani?
قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ

(ASS'AFFAT - 18)
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ

(ASS'AFFAT - 19)
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
وَقَالُوا يَا وَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ الدِّينِ

(ASS'AFFAT - 20)
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
هَـٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ

(ASS'AFFAT - 21)
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

Yani wewe ukifa hata uoze vipi lazima ufufuliwe tu mkuu,huu ukweli mchungu sana yani,unawakera watu ambao wanapenda uvivu.

Sasa baada ya utangulizi huo na mimi nianze kuuliza kwa kuanzia tuu.

" hivi kati ya maji kugeuka na kuwa mtu na kati ya mifupa na nyama iliyooza kugeuka kuwa mtu kipi ni rahisi zaidi kufanyika akatokea mtu?"

Japo umetoa malekezo mazuri lakini haujaonesha ni kwa jinsi gani huyu binadam ambaye amekufa na kuoza atafufuliwa kwa namna gani?Je Mungu atamfufua akiwa ni yuleyule wa awali mwenye mind,fikra,mawazo yaleyale.
If re-creation is possible.How


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha badala ya kifo yapo..mfano mzuri marekani kunajamaa aliishi muda mwingi akiwa na ubongo mfu(brain dead) alivyopona akaja kusimulia mambo aliokua ameyaona (alisema ni Kama ndoto ya usiku mmoja)
Ukizungumzia ubongo ni device inayodanganya (Fanya pumbao) kwa nafsi ama kwa ajili ya kufafanua
Mfano binti anapita mbele ya kiranga na mshana jr... Kiranga atasema binti wa kawaida (sio mrembo) but mshana atasema ni mrembo hadi atatangaza ndoa..
Hiyo ndio kazi ya ubongo kubendi bendi reality.
Na ndo mana mungu anasema dini ya hakki ni uislam...hakusema dini ya kweli ni uislam.
Nafsi ni mixture ya roho na mwili ulionao eidha mwili wa duniani au akhera
Ndo maana mungu akasema Kila nafsi itaonja umauti.
ROHO ni..........
speaking of ROHO hakuna jini ama mwanadamu anajua nini maana ya roho.
Watazunguka weeeeee wataishia kufananisha roho na nafsi Mara sijui subconscious mind(choo chakike)
NIMEPENDA maswali yako kwa sababu ni mazito na wwe unabidii ya kupata ujuzi juu ya ulio yauliza.
Maisha badala ya kifo yapo..haiwezekani goma lizimike tuu hivihivi afu hakuna kinachoendelea.

Kwa hiyo kitendo cha kufa je nini kinakufa,lakini unaposema ubongo ni pumbao usisahau kuwa our consciousness creates the universe bila hii consciousnesses hauwezi kutambua uwepo wako hapa duniani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo umetoa malekezo mazuri lakini haujaonesha ni kwa jinsi gani huyu binadam ambaye amekufa na kuoza atafufuliwa kwa namna gani?Je Mungu atamfufua akiwa ni yuleyule wa awali mwenye mind,fikra,mawazo yaleyale.
If re-creation is possible.How


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa vitabu vya dini hasa Qurani inasema ADam alimuumba kwa udongo tu kisha akampulizia roho.

Hivi kama alimuumba kwa udongo na akawa mtu inaweza ikashindikana kweli kutumia uwezo ule ule kuwafufua watu wakiwa wanaroho na miili yao mkuu?

Kwa mujibu wa kitabu changu ni kwamba binadamu siku ya kiama atakuwa na akili zile zile lakini huko atakuwa kama amefanya mabaya atakuwa anajutia tu wala hatowaza pbe siku hiyo.itakuwa ni siku ya mshangao kwa kila mtu.ambao waliikanusha watasema kumbe kweli ipoooo.

Na waliokuwa wanatenda mema watapata kustiriwa na Mungu.

Mawazo atakuwa nayo lskini sio mawazo ya kuwaza ujinga na maasi atakuwa anajuta kama ni miovu.
 
Roho (pumzi ya uhai ) inapotoka inakuwa mzimu katika ulimwengu wa roho . Kabla ya hizi dini za wazungu , mababu walikuwa wanaomba mizimu na wanafanikiwa . Mf . Ukame ukizidi wanaomba mizimu na mvua inanyesha ila ukitumia hizi dini zao hata upige magoti mpaka yachubuke hupati majibu kama ya mizimu . Basi maisha baada ya kifo yapo ila kwa mfumo mwingine .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa fikra zangu ndogo kupitia elimu ya mimea na viumbe what i believe kuna kitu kinaitwa decomposition tu. Ukishatoka hapo una form mbolea organically kwa manufaa ya mimea inayokuzunguka.
Kiroho inasemekana utaendelea kuexist kama spirit tu ila mwili huna mpaka siku itakapofanyika reincarnation siku ya hukumu! Wengine wanadai utaform maisha kama kitu kingine tu. Unaeza ukawa hata mti tu ukazaliwa upya kama siafu tu ukaendelea na cycle.
 
Back
Top Bottom