DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,536
- 1,998
hapan mkuu angalia wanawake wa kizungu walivokuwa na msimamo na wasivopenda kujiharibia heshima na mtazamo wao ...angalia hata case za watoto kupeana mimba uznguni zipo ila sio kama huku na kule watoto wana ma boyfriend kuanzia akiwa wadogo sana na azazi wao wanajua kwmaba mwanangu ana boyfriend au gilrfriend mfano hiyo ingekuwepo huku africa tungefikaSio Afrika tu bali ni janga dunia nzima, ebu kamuulize Rais wa USA "Trump" kuwa kabla hajawa na Mkewe wa sasa katika ndoa alishaishi na Wanawake wangapi na kuwatimua?
Lawama ulizozitoa hakika huwatendei haki wanawakeKuna wakati huwa najiuliza ni kitu gani kimepungua kwenye bongo zenu? Mnakwama wapi? Thamani yeny mbona hamuipi thamani? Hivi ni kweli utandawazi ni chanzo cha haya yote mnayofanya? Kwanini mapenzi yanawafanya mziwekee password akili zenu alafu mzisahau hadi mnashindwa kutambua kwamba mahali mlipo si sahihi? Ni ubaya gani wanaume wenu wawafanyie ili mjue hawana nia njema na nyie?
Haiwezekani mwanaume amekutongoza na amekwambia ana mke wake au mchumba wake ila bado unakubali kuanzisha nae mahusiano huo ni uzembe na ushetani wenye level ya PHD. Au hata kama hajakwambia kwamba anamtu ila anakuonesha kila aina ya dalili kwamba yupo kwenye mahusiano na mtu mwengine ila bado tu umemganda kama ruba huku ukijipa moyo atabadirika au atatulia, huo ni UTAHIRA. Jiongeze.
Ifikie kipindi msiziweke shida zenu mbele kiasi kwamba mkashindwa kutambua thamani zenu. Wanaume huwa na kawaida ya kuwachukulia kama mnajichukilia, ukijichukulia wewe ni cheap ndivyo hivyo hivyo mwanaume atakavyokuchukulia. Shida zako za kifedha na kihisia zisikufanye uwe choo kwamba kila mwanaume atakapobanwa mkojo anakuja kukukojolea.
Wewe sio dampo kwamba kila takataka ya mwanaume unaipokea, wewe sio wa level hiyo. Uzembe wenu wa kufikiria na umbumbumbu wenu kwenye mapenzi ndio unawafanya muwe vyombo vya burudani kwa wanaume. Inafikia hatua mwanaume anakutumia hadi anashindwa akutumie kwa njia gani nyengine, anaishia kukurikodi ukiwa uchi. Kwakuwa akili yako ina password na password hizo umeisahau, akilo haifunguki na kila kitu unaona sawa.
Unajiachiiia, unajitanuuua, unajisambaaaza huku ukichukuliwa video ukiliwa uroda. Inauma sana. Kama ukitambua mapema mtu ulienaye si sahihi bila shaka hutokubali kuendelea kutumika kiasi hiki.
View attachment 1232641
Mkuubnaona umeamua kunitusi,Lawama ulizozitoa hakika huwatendei haki wanawake
Naomba utambue kwamba si kweli kwamba wanaume wote wenye wake zao au mahusiano mengine zaidi ya mmoja kwamba hawana upendo wa kweli
Lakini pili elewa kwamba kama kweli kila mume mwenye mke asikubaliwe na mwanamke mwingine kwa takwimu hizi za wingi wa wanawake kuliko wanaume kuna hatari wanawake wengine wakakosa wanaume wa kukidhi haja za kimwili
Hata hivyo naungana na wewe kwa kauli kwamba ni vema wanawake wakajitambu na kuwaepuka wanaume waongo na wenye nia mbaya dhidi yao
Aidha wapo wanaume baadhi yao huja kwa nia ya kumtumia mwanamke ili apate anachokitaka na ni rahisi kuwajua kwa kila mzani utakaompima utaona tu kwamba hatoshi
Akili kichwani si kila mwanaume ni mwongo na si kila mwanamke ni fala
Binafsi nawaheshimu sana viumbe nyie wa kike na ukiacha mke wangu ninayempenda bado ninayo madanga yangu kadhaa ambayo tunaheshimiana sana tu na yanajua kabisa kwamba nina mke na yanaheshimu hilo
Mkuubnaona umeamua kunitusi,
Umeniweka kwenye kundi la kike
Yani mwanamke asiporidhishwa akili zenu mnazijuaga wenyewe..
Yani hata mlinzi mnampa tu..
Yani mwanamke asiporidhishwa akili zenu mnazijuaga wenyewe..
Yani hata mlinzi mnampa tu..
Nitakutafuta...it's a promise
Hahah hapana mkuu, tuna kahistoria ketu fulani yeye anajuanaona unakomaa na fursa sheik