Habari wanajf,hii course Niliichagua consciously bt ningependa msaada wenu,je iko poa au siyo,,nilitaka nikabadili nichikue MD nikienda chuo_muhas
Chuo gani mkuu?Iko poa.Inatolewa na chuo kimoja tu bongo.Mshahara kama MD.Part time za kutosha mtaani
Haujajua matokeo yake so usimjudge ,may be ana points zinazotosha MD ila ushindani umemchomoaKwanza uwezi kubadiri usijidanganye umechaguliwa DD sababu marks zako hazitoshi kwenda Md
uwezi badili dogo iyo kozi marks zake Ni ndogo tofauti na MD dogo
Acha kuzingua.Dental surgeon is a full doctor.Anapita department nyingi sana kwenye rotation,intenal medicine,gyne,surgery,obs etc etcAjira ipo na mshahara kama MD tu but tatizo iyo kozi imejibana sana Ni kinywa tu uwezi tibu tatizo jengine tofauti na kinywa
Muhimbili University kwa level ya degreeChuo gani mkuu?
wakifika clinical DDS anafanya yayomuhusu tu kwenye kozi yake,karibu muhimbili kijana tukuelekeze tofauti zaidi,ndio maana wanaitwa madaktari wa kinywa na meno
wewe Acha kuongopea watu DDS anasoma kama MD kuanzia mwaka wa kwanza na wapili wakianza clinical wanaachana DDS anabaki kwenye fani yake na MD kwake hapo ndipo wanapoachana sasa kama umeambiwa DDS full Dr wamrkudanganya,Ni Dr ila sio kama MD wanatofuti kubwa
IMTU hawatoi siku hizi au?Haujajua matokeo yake so usimjudge ,may be ana points zinazotosha MD ila ushindani umemchomoa
Acha kuzingua.Dental surgeon is a full doctor.Anapita department nyingi sana kwenye rotation,intenal medicine,gyne,surgery,obs etc etc
Muhimbili University kwa level ya degree
umekomaa na rotation lakn amini nakuambia DDS huwezi kuifananisha na MD ....tatizo la DDS hata mwenye diploma yake anafanya kazi kama za DDS .... kung'oa jino tu na mambo ya kinywa .....ukifikiria zaidi siku hiz kuna dawa za mitishamba za kutibu meno bila kung'oa .......in fact DDS is better ..MD is the bestKwanini DDS anafanya rotation Internal medicine?
umekomaa na rotation lakn amini nakuambia DDS huwezi kuifananisha na MD ....tatizo la DDS hata mwenye diploma yake anafanya kazi kama za DDS .... kung'oa jino tu na mambo ya kinywa .....ukifikiria zaidi siku hiz kuna dawa za mitishamba za kutibu meno bila kung'oa .......in fact DDS is better ..MD is the best
Nimekupuuza