GE2025 DCP Misime: Kama mtoto wako yuko mjini, Mshauri mapema

GE2025 DCP Misime: Kama mtoto wako yuko mjini, Mshauri mapema

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi DCP David Misime anatoa neno kwa wazazi kuwaendea Watoto wao kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.

Misime ameyasema hayo leo Oktoba 10, 2025 wakati akizungumza na kituo cha East Afrika redio.
 
Kama yeye ni mtu wa dini sana kwanini wanateka na kuua watu?

Kwani kuna dini inayohamasisha kuteka na kuua?
 
Kuelekea Oct 29 watawala wanajihami kwa mambo mawili, idadi ndogo saana ya watakaojitokeza kupiga kura kiasi cha kushtusha, pamoja na uwezekano wa kutokea maandamano makubwa yakuwashinda nguvu. Vyombo vya dola, matangazo kwenye media ni juu ya hizo hufu mbili. Si ajabu hata wao wamejianda kwa lolote incase,..,
 
Hii nguvu wangeiweka kwa kuwa na msimamo na sauti kwa CCM hata maslahi yangepanda!(wale wa vyeo vya kati na vidogo)

Sasa CCM imeifanya polisi tawi lao (Wenye vyeo vikubwa) hawa wadogo wanaunga tela na kucheza ngoma isiyo na maslahi nao.

Hizi ni zama tofauti, polisi ijikite kwenye PGO...Siasa itimize ahadi,period!
 
Back
Top Bottom