johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,954
Kwani KUB Mbowe siyo kiongozi wa serikali?!
Kwani KUB Mbowe siyo kiongozi wa serikali?!
Ikisemwa Wewe ni Mwanaume kwenye familia yenu maana yake Baba yako ni Mwanamke?
Atakijuaje hicho kifungh cha sheria wakati yeye sio mwanasheria? Yeye anajuwa hivyo kutokana na katazo lililokuwa limetolewa na viongozinwa tume ya uchaguzi. Kama kila mmoja anajuwa sheria, wewe kwanini hujui kuwa shehe au padri ana haki ya kumpigia kampeni mumini wake!!!!?
Hili janahabari fake litakuchosha tu, kichwani jeupe, linataka thread i trendKumbe Wewe ni Mbulula sana kwenye Sheria
Sheria huwa ina mention wanaozuiwa Hawa mention wanaoruhusiwa kwa kuwa ni wote kasoro waliotajwa kuzuiwa
Nadhan Sasa umejiridhisha kuwa Hakuna kipengele kinachokataza ndio sababu huna reference
Kumbe kwa mantiki yako hii, kwa kuwa hakuna sheria ama muongozo unaozuia viongozi wa dini kuwapigia Kampeni waumini wao, basi si kosa kwa viongozi wa dini kushabikia chama fulani cha siasa na kukipigia Kampeni.Sheria huwa ina mention wanaozuiwa Hawa mention wanaoruhusiwa kwa kuwa ni wote kasoro waliotajwa kuzuiwa
Walitaja kifungu cha sheria kinachowazuia?kwahiyo tangazo za tume ya uchaguzi lilikuwa hovyo walivyosema wakuu wamikoa na wilaya wasiingilie chaguzi?
naomba hivyo vifungu vya sheria mimi ni mwanahabari mwandishi naona wewe unauwelewa wa sheria nisaidie hivyo vifunguNo research no right to speak
Kama huna valid reference ya kuzuiwa DC kwenye Kampeni Basi hizo ni blaa blaa za Kisiasa
Kumbe kwa mantiki yako hii, kwa kuwa hakuna sheria ama muongozo unaozuia viongozi wa dini kuwapigia Kampeni waumini wao, basi si kosa kwa viongozi wa dini kushabikia chama fulani cha siasa na kukipigia Kampeni.
Kama Mrema alivyompigia kampeni Magufuli!Hakuna kosa DC kumpigia Kampeni Mgombea wa Uchaguzi cha Msingi asitumie Mamlaka yake kumnufaisha Mgombea Fulani
Uchaguzi wa Liberia Rais Sirleaf alikuwa anamsaidia Mpinzani wake wa Zamani George weah japo wanatoka Vyama tofauti na lilikuwa kosa Kisiasa sio kisheria
Lakini ni kinyume cha sheria. Serikali ndiyo inayoandaa uchaguzi, ni juu ya serikali kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki kinyume chake ni chanzo cha vurugu na fujo.Asiyejua kuwa hawa waheshimiwa huwa wanawapigia kampeni na kuwasaidia wagombea wa chama fulani ana matatizo makubwa ya uelewa.
Amevunja kifungu kipi cha sheria?wewe uwelewa wako bora sisimizi maana dc nikiongozi wa kanisa?
Huu ni upuuzi tu 2015 Mh Jakaya kikwete alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na alishi kumpigia kampeni mgombea wa ccm mbona hamkulalamika?
Wamesema wasiingilie lakini hawqjasema wasipige kampeni mkuu wa Wilaya ni mwanasiasa piakwahiyo tangazo za tume ya uchaguzi lilikuwa hovyo walivyosema wakuu wamikoa na wilaya wasiingilie chaguzi?
Ikisemwa Wewe ni Mwanaume kwenye familia yenu maana yake Baba yako ni Mwanamke?
Jibu maswali acha kucheza na maneno kwa kuendekeza ubishani usio na tija.
Mimi ndio nimeuliza reference au Sheria inayokataza DC kumkampeni Mgombea, thread inaruka pages kadhaa jibu sijapata
Kama unataka kuwasaidia iweke hapa tufunge Mjadala!