Uuwaaaaaaabubaaaaaa kampa kampa tena
hyu jamaa akyamungu akipigwa chini lazima afe kwa presha, hivi amesomea nini maana anapigania kuupata tena UDC, mjomba angu Magu, mchinjie baharini hatuitaji maigizo serikalini ttnataka watendaji wakweli, huyu ni msanii mpereke , BONGO mOVIE.
Huyu DC mimi na mwelewa ila wenye mawivu ya kiswahili ndio hamwachi kuwa na majungu jamaa anapiga kazi sana tena sana maana mimi sipo Iringa lkn huyo jamaa huwa yupo vizuri sana.
Watu wanaojiita wasomi nchi hii ndio wanaongoza kwa kufanya mazingaumbwe.namfahamu sana ni mtu smart sana up stairs ila siasa zinampelekesha