acer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 1,595
- 142
Ililazimu Kamati ya Ulinzi Na Usalama (KUU) Wilaya ya Same kutembelea msitu wa hifadhi Chome (Shengena) baada ya kupata taarifa ya uvamizi wa wachimbaji madini ya dhahabu ndani ya msitu huo.
Uharibifu uliokutwa ni mkubwa Na ni umbali wa zaidi ya km. 2 kutoa eneo la mpaka.
Watu 6 walikwisha kamatwa Na kufikishwa katika vyombo vya sheria. Ambao 4 wanatoka kijiji cha Mhero kata ya Chome Na 2 wanatoka kijiji cha kanza kata ya Lugulu.
Mkt. Wa KUU (DC) alitoa maelekezo yafuatayo kwa wananchi:-
~ Viundwe vikundi vya ulinzi shirikishi kwa vijiji 27 vinavyozunguka msitu huo.
~ Iwekwe kambi kwa muda ili kuhakikisha uchimbaji hauendelei Na kuwashika watakaoingia.
~ Mashimo yafukiwe Na miti ipandwe kurudishia hali ya eneo husika.
~ KUU kila ngazi kuanzia vijiji hadi Wilaya zitimize wajibu wao.
~ KUU vijiji vyote 27 iwe ni ajenda ya kudumu kuzungumzia hali ya Msitu huo ( uchimbaji dhahabu, moto, kukata miti, kuingiza mifugo)
~ Masaa 48 kwa kila atakayekamatwa kabla ya kuenda mahakamani.
~ TFS - miradi ya uchumi kwa vikundi vyote vya ulinzi shirikishi pamoja Na wananchi wengine
~ TFS - Motisha kwa watoa taarifa.
~ Polisi - mashtaka sahihi.
Wito kwa woote kushiriki vita hii inayotaka kuharibu urithi wetu Na wa watoto Na wajukuu zetu. Kwani bila msitu Huu Maji Same ni shida.
Ziara hiyo ilifanyika Tar. 07/09/2017 ikiwashirikisha wataalamu kutoka TFS na Halmashauri.
Uharibifu uliokutwa ni mkubwa Na ni umbali wa zaidi ya km. 2 kutoa eneo la mpaka.
Watu 6 walikwisha kamatwa Na kufikishwa katika vyombo vya sheria. Ambao 4 wanatoka kijiji cha Mhero kata ya Chome Na 2 wanatoka kijiji cha kanza kata ya Lugulu.
Mkt. Wa KUU (DC) alitoa maelekezo yafuatayo kwa wananchi:-
~ Viundwe vikundi vya ulinzi shirikishi kwa vijiji 27 vinavyozunguka msitu huo.
~ Iwekwe kambi kwa muda ili kuhakikisha uchimbaji hauendelei Na kuwashika watakaoingia.
~ Mashimo yafukiwe Na miti ipandwe kurudishia hali ya eneo husika.
~ KUU kila ngazi kuanzia vijiji hadi Wilaya zitimize wajibu wao.
~ KUU vijiji vyote 27 iwe ni ajenda ya kudumu kuzungumzia hali ya Msitu huo ( uchimbaji dhahabu, moto, kukata miti, kuingiza mifugo)
~ Masaa 48 kwa kila atakayekamatwa kabla ya kuenda mahakamani.
~ TFS - miradi ya uchumi kwa vikundi vyote vya ulinzi shirikishi pamoja Na wananchi wengine
~ TFS - Motisha kwa watoa taarifa.
~ Polisi - mashtaka sahihi.
Wito kwa woote kushiriki vita hii inayotaka kuharibu urithi wetu Na wa watoto Na wajukuu zetu. Kwani bila msitu Huu Maji Same ni shida.
Ziara hiyo ilifanyika Tar. 07/09/2017 ikiwashirikisha wataalamu kutoka TFS na Halmashauri.